CCM yaweka ukomo wa miaka 10 kwa bunge, udiwani viti maalumu
Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imeridhia mapendekezo ya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi katika vyombo vya dola ikiwemo kuweka ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano…
Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imeridhia mapendekezo ya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi katika vyombo vya dola ikiwemo kuweka ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano…
Na Mwandishi Wetu, Dar ves Salaam Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeandaa mafunzo maalum kwa wajumbe wote wa Bodi za Wadhamini wa Taasisi zilizosajiliwa RITA zilizopo Dar es Salaam yakayofanyika kwenye…
Wizara ya Katiba na Sheria imetoa mafunzo ya utawala bora na uraia kwa kamati ya usalama ya wilaya ya Magu, wakuu wa idara mbalimbali za halmashauri na watendaji wa kata…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB imetoa jumla ya Sh170 milioni kama sehemu ya udhamini wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT). Kiasi…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Watu wawili wamethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox nchini Tanzania. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya, Jenista Mhagama kwenye taarifa kwa umma…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema kuwa majaribio ya mabehewa 264 ya mizigo, yaliyowasili nchini Desemba 2024, yamekamilika. Majaribio ya mabehewa hayo yaliyochukua mwezi…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ametoa ufafanuzi zaidi kuhusu hatua ya Serikali kununua umeme nchini Ethiopitia kupitia Kenya hadi Namanga…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB imesaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati (MoU) na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) yanayolenga kutambua na kuendeleza…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Rais Samia Suluhu Hassan amesema mpango wa nishati safi kuwepo nchini, kumeifanya Tanzania kuwa msimamizi wa mpango huo maalum kwa Afrika. Amesema hayo wakati akizungumza katika Kilele cha…
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameibeba sekta ya kilimo kwa mafanikio makubwa katika miaka 4 ya utawala wake kwa kuhamasisha watu wengi…