Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article NMB yachangia vifaa vya elimu na Afya, Geita na Kagera

NMB yachangia vifaa vya elimu na Afya, Geita na Kagera

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Benki ya NMB Kanda ya Ziwa imetoa vifaa tiba katika hospitali ya Kanda Chato pamoja na kuchangia vifaa katika sekta ya elimu kwa Shule nne za Chato Mkoani Geita na…

Continue ReadingNMB yachangia vifaa vya elimu na Afya, Geita na Kagera
Read more about the article NFRA yaongeza uwezo uhifadhi akiba ya chakula, yauza tani 600,000 miaka 4 ya Samia

NFRA yaongeza uwezo uhifadhi akiba ya chakula, yauza tani 600,000 miaka 4 ya Samia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam Wakala wa Taifa wa    Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) umesema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan umefanikiwa…

Continue ReadingNFRA yaongeza uwezo uhifadhi akiba ya chakula, yauza tani 600,000 miaka 4 ya Samia
Read more about the article EACOP , PCK kufadhili masomo kwa vijana 80 nchini
Screenshot

EACOP , PCK kufadhili masomo kwa vijana 80 nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na mkandarasi wa kusambaza mabomba PANYU CHU KONG STEEL PIPE (PCK) wametoa ufadhili wa…

Continue ReadingEACOP , PCK kufadhili masomo kwa vijana 80 nchini
Read more about the article Kapinga: Serikali imeimarisha ushiriki wa wanawake katila uongozi

Kapinga: Serikali imeimarisha ushiriki wa wanawake katila uongozi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 26, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Nishati,  Judith Kapinga amesema kuwa Serikali imeboresha mazingira ya wanawake nchini ili waweze kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi, maendeleo ya Tanzania na kushika nafasi za uongozi. Kapinga ameyasema…

Continue ReadingKapinga: Serikali imeimarisha ushiriki wa wanawake katila uongozi
Read more about the article EXIM yachangia vifaa vya matibabu vya Mil. 25 Kahama

EXIM yachangia vifaa vya matibabu vya Mil. 25 Kahama

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 26, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko ameipongeza Benki ya Exim kwa kuisaidia jamii kupitia Exim Cares ambayo imechangia vifaa vya matibabu katika…

Continue ReadingEXIM yachangia vifaa vya matibabu vya Mil. 25 Kahama
Read more about the article Washindi wa ‘NMB MastaBata’ waagwa Dar, watimkia Dubai

Washindi wa ‘NMB MastaBata’ waagwa Dar, watimkia Dubai

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 26, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA MWANDISHI WETU WASHINDI wa fainali ya msimu wa sita wa kampeni ya kuhamasisha matumizi na malipo kwa njia ya kadi iliyoendeshwa na Benki ya NMB, ‘NMB MastaBata - La…

Continue ReadingWashindi wa ‘NMB MastaBata’ waagwa Dar, watimkia Dubai
Read more about the article NMB Yaweka Viwango Vipya vya Ubora wa Ajira na Ustawi wa Wafanyakazi Nchini

NMB Yaweka Viwango Vipya vya Ubora wa Ajira na Ustawi wa Wafanyakazi Nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Katika mazingira ya sasa hivi ya ajira yenye ushindani mkubwa wa kuvutia na kuhifadhi vipaji bora, Benki ya NMB imeendelea kuwa mwajiri kinara nchini na chaguo pendwa…

Continue ReadingNMB Yaweka Viwango Vipya vya Ubora wa Ajira na Ustawi wa Wafanyakazi Nchini
Read more about the article Korogwe waipongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme

Korogwe waipongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Tanga Wananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradi  ya umeme Vijijini ambapo katika wilaya hiyo  vijiji vyote vimefikishiwa umeme. Pongezi hizo zimetolewa kupitia Mbunge wa…

Continue ReadingKorogwe waipongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme
Read more about the article Kapinga awataka TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi
Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga

Kapinga awataka TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 23, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma wanaotekeleza miradi mbalimbali ya sekta ya nishati nchini.  Hayo ameyasema leo Februari 23, 2025…

Continue ReadingKapinga awataka TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi
Read more about the article EACOP yashinda tuzo ya Afya na Usalama kazini

EACOP yashinda tuzo ya Afya na Usalama kazini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 23, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umeshinda tuzo ya kujali ‘Afya na Usalama’ kazini kwa mwaka wa 2024/2025 inayotolewa na…

Continue ReadingEACOP yashinda tuzo ya Afya na Usalama kazini
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu