Biteko ampongeza mwanafunzi aliyeelezea miradi ya umeme
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameagiza Mwanafunzi Mirabelle Msukari na Wenzake wa Shule ya Msingi Sun Rise iliyopo Wilayani…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameagiza Mwanafunzi Mirabelle Msukari na Wenzake wa Shule ya Msingi Sun Rise iliyopo Wilayani…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na mkandarasi mkuu wa ujenzi wa bomba hilo, kampuni ya China Petroleum Pipeline…
IMEELEZWA kuwa vigogo wajuu wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu na Katibu mkuu, John Mnyika wamepanga kumfukuza uanachama Lembrus Mchome, kada aliyehoji uteuzi wa viongozi wa sekretarieti…
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) kushirikiana kwa karibu na wenyeviti wa mitaa ili kuweza kutatua changamoto za maji…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuwa Wizara na nchi kwa pamoja imeamua kufanya muziki wa Singeli kuwa alama ya Mtanzania kwa kupeleka kwenye nchi…
Utawala wa Trump umeanza kufuta kazi mamia ya wafanyakazi wa idara ya usafiri wa anga na kusababisha hali ya taharuki kuelekea kwa wikiendi yenye shughuli nyingi za usafiri huo nchini…
Rais Donald Trump amepeleka ombi la dharura katika Mahakama ya Juu ya Marekani ili iamue ikiwa ana mamlaka ya kumfukuza kazi mmoja wa viongozi waandamizi serikalini. Hampton Dellinger, mtendaji Mkuu…
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kuendeleza kasi ya…
Watumishi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro wametembelea Bandari ya Moroni kujione shughuli zinazofanywa hapo hususan katika kushughulikia shehena za mizigo kutoka Tanzania. Wakiongozwa na Balozi wa Tanzania nchini humo,…
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amezitaka taasisi zinazofanya kazi ndani ya wilaya hiyo kuiga mfano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ya…