Wabunge wakunwa ujenzi vituo maalum vya kudhibiti wanyama wakali
Na Mwandishi Wetu, Tanga Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusikiliza kilio cha wananchi kuhusu wanyama wakali…
