Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Mafunzo haya ya Ofisi ya Waziri Mkuu yanawajengea uwezo vijana kupata kipato

Mafunzo haya ya Ofisi ya Waziri Mkuu yanawajengea uwezo vijana kupata kipato

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Moja ya changamoto kubwa inayoikabili dunia kwa sasa na Tanzania ikiwepo ni tatizo la ajira hasa kwa vijana. Nchini Tanzania, changamoto hii imekuwa ikiongezeka kutokana…

Continue ReadingMafunzo haya ya Ofisi ya Waziri Mkuu yanawajengea uwezo vijana kupata kipato
Read more about the article NMB yahudhuria Mkutano wa Kamisheni ya huduma za Jamii ya Kikristo (CSSC)

NMB yahudhuria Mkutano wa Kamisheni ya huduma za Jamii ya Kikristo (CSSC)

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Uwakilishi wa Benki ya NMB ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Bi. Ruth Zaipuna umehudhuria Mkutano wa Kamisheni ya Huduma za Kijamii ya Kikristo (CSSC) ambao imeangazia masuala ya elimu na…

Continue ReadingNMB yahudhuria Mkutano wa Kamisheni ya huduma za Jamii ya Kikristo (CSSC)
Read more about the article NFRA yajiandaa kukabiliana na upungufu wa sukari nchini 

NFRA yajiandaa kukabiliana na upungufu wa sukari nchini 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula (NFRA) umesema  umejipanga vizuri  kukabiliana na upungufu wa sukari hapa nchini endapo  kutajitokeza upungufu  wa bidhaa  hiyo kwani serikali imeshatoa  kibali  kwa wakala kuagiza…

Continue ReadingNFRA yajiandaa kukabiliana na upungufu wa sukari nchini 
Read more about the article Afrika tunapaswa kutumia rasilimali tulizonazo kuzalisha umeme wa kutosha- Biteko

Afrika tunapaswa kutumia rasilimali tulizonazo kuzalisha umeme wa kutosha- Biteko

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, New Delhi, India Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa pamoja na dunia sasa kuweka mkazo ikiwemo ya kifedha kwenye uzalishaji umeme…

Continue ReadingAfrika tunapaswa kutumia rasilimali tulizonazo kuzalisha umeme wa kutosha- Biteko
Read more about the article Kapinga: TANESCO, EWURA imeweka mwongozo wa gharama  za kuunganisha umeme

Kapinga: TANESCO, EWURA imeweka mwongozo wa gharama  za kuunganisha umeme

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha…

Continue ReadingKapinga: TANESCO, EWURA imeweka mwongozo wa gharama  za kuunganisha umeme
Read more about the article Wakulima mazao ya misitu, chakula na biashara wapewa somo NMB Kijiji Day Njombe

Wakulima mazao ya misitu, chakula na biashara wapewa somo NMB Kijiji Day Njombe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA MWANDISHI WETU, NJOMBE WAKULIMA wa mazao ya misitu, mazao ya chakula na biashara, vikiwemo Vikundi vya Kijamii, Vyama vya Ushirika wa Msingi (AMCOS), Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS)…

Continue ReadingWakulima mazao ya misitu, chakula na biashara wapewa somo NMB Kijiji Day Njombe
Read more about the article NFRA  kuuza tani milioni moja ya mazao 2025/2026

NFRA  kuuza tani milioni moja ya mazao 2025/2026

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam  Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) unatarajia  kuuza takribani tani milioni moja za chakula  kwa mwaka wa fedha wa 2025/ 2026 kupitia masoko…

Continue ReadingNFRA  kuuza tani milioni moja ya mazao 2025/2026
Read more about the article Bilioni 3.3 zakusanywa vituo vya uchenjuaji

Bilioni 3.3 zakusanywa vituo vya uchenjuaji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Imeelezwa lengo la Serikali la kuanzisha Vituo vya Mfano kwa ajili ya kutoa mafunzo ya uchimbaji bora kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini limefaniliwa kwa kiasi kikubwa baada ya wachimbaji…

Continue ReadingBilioni 3.3 zakusanywa vituo vya uchenjuaji
Read more about the article Dakawa kutangazwa kwenye urithi wa Taifa

Dakawa kutangazwa kwenye urithi wa Taifa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuwa eneo la kihistoria la Dakawa lililopo wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro lipo kwenye hatua ya kutangazwa kwenye gazeti…

Continue ReadingDakawa kutangazwa kwenye urithi wa Taifa
Read more about the article RC Chalamila atangaza uuzaji viwanja 2,274 Mabwepande- Kinondoni

RC Chalamila atangaza uuzaji viwanja 2,274 Mabwepande- Kinondoni

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Kufuatia maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan kutaka waliovamia na kujenga kwenye eneo linalomilikiwa na shirika la maendeleo Dar es Salaam (DDC) lililopo Mabwepande kuuziwa viwanja kwa gharama nafuu Mkuu…

Continue ReadingRC Chalamila atangaza uuzaji viwanja 2,274 Mabwepande- Kinondoni
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu