Ujenzi mji wa Serikali wafikia asilimia 89.4
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa ujenzi wa mejengo 36 ya serikali umefikia asilimia 89.4 huku Jengo…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa ujenzi wa mejengo 36 ya serikali umefikia asilimia 89.4 huku Jengo…
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule leo Ijumaa amegharamia malipo ya utengenezwaji wa paspoti kwa baadhi ya mabondia wa timu ya Taifa ya ngumi. Mtambule amejitolea gharama hizo katika…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Madini imesema inaendelea na juhudi za kupunguza mzigo wa tozo kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu nchini kwa kufanya mapitio ya ada na…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mfumo wa kielektroniki wa Anwani za makazi (NaPA) ambao una programu tumizi yaani ‘Application’ utasaidia kuboresha huduma za usafiri na usalama wa abiria na madereva ambapo…
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Uhuru kilichopo Wilaya ya Urambo mkoani Tabora umekamilika. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 07…
Mwanahabari mkongwe wa Kenya Leonard Mambo Mbotela amefariki dunia. Mkwe wake Anne Mbotela alithibitisha habari hizo za kusikitisha kwa vyombo vya habari nchini humo leo Ijumaa asubuhi. Amesema Mwanahabari huyo…
Wataalamu wa sekta ya ununuzi wa umma wameaswa kuzingatia maadili ya taaluma ya fani yao katika usimamizi wa miradi ya umma ili kuiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya fedha katika…
MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya madini katika Mkoa wa Njombe yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali yameendelea kupaa kutoka mwaka hadi mwaka tangu kuanzishwa kwa Ofisi ya Tume…
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 06 Februari 2025, wameungana na viongozi na wananchi mbalimbali katika Ibada ya kumuaga marehemu Sekunda Massawe…
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Suleiman Serera ameipongeza Wakala wa Vipimo kwa kazi nzuri ya usimamizi wa vipimo katika sekta mbalimbali. Dkt. Serera ameyasema hayo alipotembelea…