Wadau wa sanaa Magu watakiwa kujisajili BASATA
WADAU wa sanaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wametakiwa kujisajili katika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ili watambulike kitaifa na kupata manufaa katika fursa mbalimbali zinazojitokeza…
