Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Majaliwa akagua ujenzi uwanja wa ndege Shinyanga, atoa maagizo

Majaliwa akagua ujenzi uwanja wa ndege Shinyanga, atoa maagizo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amemtaka mkandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa Shinyanga afanye kazi usiku na mchana ili kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa uwanja huo ikiwemo ufungaji wa taa…

Continue ReadingMajaliwa akagua ujenzi uwanja wa ndege Shinyanga, atoa maagizo
Read more about the article Kwa kikosi hiki, CCM hii unaishindaje?

Kwa kikosi hiki, CCM hii unaishindaje?

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Dk. Reubeni Lumbagala Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama kikongwe nchini ambacho sasa kimetimiza miaka 48 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977. Ukongwe wa chama hiki, si tu katika umri…

Continue ReadingKwa kikosi hiki, CCM hii unaishindaje?
Read more about the article Majaliwa atoa wito uwekezaji wa NMB katika elimu uigwe

Majaliwa atoa wito uwekezaji wa NMB katika elimu uigwe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za umma na binafsi kuiga mfano wa Benki ya NMB katika kuwekeza kwenye sekta ya elimu,…

Continue ReadingMajaliwa atoa wito uwekezaji wa NMB katika elimu uigwe
Read more about the article Wanafunzi elimu ya juu wakopa trilioni 8.2

Wanafunzi elimu ya juu wakopa trilioni 8.2

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetumia shilingi trilioni 8.2 kugharamia wanafunzi tangu ilipoanzishwa. Amesema kuwa pia katika kipindi…

Continue ReadingWanafunzi elimu ya juu wakopa trilioni 8.2
Read more about the article Besigye akimbizwa hospitalini
Kizza Besigye

Besigye akimbizwa hospitalini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye ambaye alianza mgomo wa kula wiki iliyopita amekimbizwa hospitali jana jioni baada ya hali ya afya kuzorota. Hayo yameelezwa na mbunge mmoja mwenye…

Continue ReadingBesigye akimbizwa hospitalini
Read more about the article Mavunde ‘ageuka mbogo’ kwa wachimbaji wanaoingiza wageni kinyemela

Mavunde ‘ageuka mbogo’ kwa wachimbaji wanaoingiza wageni kinyemela

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amepiga marufuku raia wa  kigeni kuingia na kufanya shughuli kwenye leseni za uchimbaji mdogo; hii ni kufuatia changamoto zilizobainika katika uingiaji…

Continue ReadingMavunde ‘ageuka mbogo’ kwa wachimbaji wanaoingiza wageni kinyemela
Read more about the article Papa Francis aendelea na matibabu hospitali kwa siku 4

Papa Francis aendelea na matibabu hospitali kwa siku 4

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amelazwa hospitali kwa siku ya nne mfululizo katika kile viongozi mjini Vatican wamesema anapatiwa matibabu ya maambukizi kwenye njia ya hewa lakini anaendelea…

Continue ReadingPapa Francis aendelea na matibabu hospitali kwa siku 4
Read more about the article Shakira asitisha shoo kisa maumivu ya tumbo

Shakira asitisha shoo kisa maumivu ya tumbo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Nyota wa muziki, raia wa Colombia Shakira jana Jumapili amelazimika kusitisha show yake huko Lima, Peru, na baadaye kupelekwa hospitalini kutokana na maumivu ya tumbo. Shakira kupitia taarifa kwenye akaunti…

Continue ReadingShakira asitisha shoo kisa maumivu ya tumbo
Read more about the article M23 waingia bukavu

M23 waingia bukavu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda walifika katikati mwa jiji la pili kwa ukubwa mashariki mwa DRC, Bukavu, jana Jumapili asubuhi na kuchukua udhibiti wa ofisi ya utawala wa jimbo la…

Continue ReadingM23 waingia bukavu
Read more about the article Uganda kuondoa kesi ya Besigye katika mahakama ya kijeshi

Uganda kuondoa kesi ya Besigye katika mahakama ya kijeshi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Serikali ya Uganda imesema itaiondoa kesi dhidi ya mpinzani mkongwe Kizza Besigye katika mahakama ya kijeshi, na kumtaka asitishe mgomo wa kula gerezani. Ahadi hiyo imetupiliwa mbali na mke wa…

Continue ReadingUganda kuondoa kesi ya Besigye katika mahakama ya kijeshi
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu