Diaspora Ubelgiji wampongeza Samia kwa miradi ya maendeleo
Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake thabiti unaoendelea kuleta mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kulinda amani na mshikamano wa…
