Biteko: Ufundi stadi umepewa kipaumbele na serikali
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeamua kuwekeza kwenye ufundi ili Watanzania waweze kujikomboa katika uchumi. …
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeamua kuwekeza kwenye ufundi ili Watanzania waweze kujikomboa katika uchumi. …
Safari ya miaka minne ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imekuwa ya neema kubwa kwa taasisi za umma na hata kampuni ambazo…
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa shilingi milioni 50 kwa ajili ya maendeleo ya…
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), Mhandisi Bruno Ching’andu amesema Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) itachukua usimamizi na uendeshaji wa reli hiyo…
Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu leo Alhamisi imekutana kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli za lishe katika kipindi cha robo ya pili Oktoba hadi Disemba mwaka…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Mambo ya Nje, Uhamiaji na Wamisri Waishio Nje wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri,…
JUMLA ya leseni 1356 zimetolewa katika halmashauri tatu za Mkoa wa Kimadini Kahama ambazo ni Ushetu, Msalala na Kahama huku wazawa na wawekezaji kutoka nje wakitakiwa kuchangamkia fursa zilizopo mkoani…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Moja ya matukio makubwa nchini wakati jua linazama Jumatano wiki hii ilikuwa ni futari ya kukata na shoka iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji kwa mwaka 2023/24 na kuzitaka kupunguza kiwango cha upotevu maji ili kuepusha…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambao umechochea uboreshaji wa…