Mavunde aitaka Tume ya Madini kufikiri nje ya boksi
WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ametoa maelekezo matano kwa Menejimenti ya Tume ya Madini hasa Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa kuzingatia na kusimamia sheria katika utekelezaji wa majukumu yao na kufikiri nje…
