Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article INEC yaanzisha majimbo mapya 8, 12 yabadilishwa jina
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele

INEC yaanzisha majimbo mapya 8, 12 yabadilishwa jina

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeanzisha majimbo mapya nane na kubadilisha majina ya majimbo 12 ya uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na waandishi…

Continue ReadingINEC yaanzisha majimbo mapya 8, 12 yabadilishwa jina
Read more about the article Watanzania waitwa kupima bure kinywa, meno maonesho ‘Tanzania denital Expo’ 

Watanzania waitwa kupima bure kinywa, meno maonesho ‘Tanzania denital Expo’ 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam, Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais Tamisemi kwa kushirikiana na wadau wa kinywa na meno wamewataka Watanzania na taasisi mbalimbali kujitokeza kwa wingi…

Continue ReadingWatanzania waitwa kupima bure kinywa, meno maonesho ‘Tanzania denital Expo’ 
Read more about the article NMB yashinda tuzo 6, Benki bora kwa uendelevu Afrika

NMB yashinda tuzo 6, Benki bora kwa uendelevu Afrika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imepata mafanikio ya kihistoria ya ushindi wa tuzo sita za kimataifa kutoka kwa majarida mawili mashuhuri duniani - jarida la Euromoney…

Continue ReadingNMB yashinda tuzo 6, Benki bora kwa uendelevu Afrika
Read more about the article TNBC kuanzisha kituo cha Kimataifa cha Huduma za kifedha kuvutia wawekezaji
Screenshot

TNBC kuanzisha kituo cha Kimataifa cha Huduma za kifedha kuvutia wawekezaji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam   Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) chini ya kikundi kazi cha fedha kina mipango ya kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Kifedha (International…

Continue ReadingTNBC kuanzisha kituo cha Kimataifa cha Huduma za kifedha kuvutia wawekezaji
Read more about the article Kituo kinachojaza gesi magari 1200 kwa siku chazinduliwa Dar

Kituo kinachojaza gesi magari 1200 kwa siku chazinduliwa Dar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 9, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amezindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kwenye magari…

Continue ReadingKituo kinachojaza gesi magari 1200 kwa siku chazinduliwa Dar
Read more about the article Leo XIV kutoka Marekani ndiye Papa mpya

Leo XIV kutoka Marekani ndiye Papa mpya

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Kadinali Robert Prevost ametangazwa kuwa Papa mpya. Papa Robert Prevost atajulikana kama Papa Leo XIV. Kardinali Prevost ni mzaliwa wa Chicago nchini Marekani ambaye hadi anchaguliwa leo tarehe 8 Mei…

Continue ReadingLeo XIV kutoka Marekani ndiye Papa mpya
Read more about the article Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari

Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 8, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimesaini hati ya makubaliano inayolenga  kuboresha na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji, ikiwemo…

Continue ReadingTanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
Read more about the article Shule 216 za serikali zatumia nishati safi ya kupikia

Shule 216 za serikali zatumia nishati safi ya kupikia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo kati…

Continue ReadingShule 216 za serikali zatumia nishati safi ya kupikia
Read more about the article Wadau wa sanaa Magu watakiwa kujisajili BASATA

Wadau wa sanaa Magu watakiwa kujisajili BASATA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 7, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

WADAU wa sanaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wametakiwa kujisajili katika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ili watambulike kitaifa na kupata manufaa katika fursa mbalimbali zinazojitokeza…

Continue ReadingWadau wa sanaa Magu watakiwa kujisajili BASATA
Read more about the article DAR yatakiwa kujenga ghorofa kutoa huduma za afya

DAR yatakiwa kujenga ghorofa kutoa huduma za afya

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii katika Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume amesema kutokana na uhaba wa maeneo…

Continue ReadingDAR yatakiwa kujenga ghorofa kutoa huduma za afya
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu