Samia: Nitajenga soko, barabara za kutosha Arusha
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake inatarajia kujenga soko kubwa la machinga na kukamilisha soko la kisasa la wafanyabiashara katika eneo la…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake inatarajia kujenga soko kubwa la machinga na kukamilisha soko la kisasa la wafanyabiashara katika eneo la…
Mkoa wa Arusha ni miongoni mwa maeneo yatakayonufaika na Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR), utakaotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo chini ya Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan.…
SIKU moja baada ya vituo na mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Saalam (Mwendokasi) kushambuliwa kwa mawe na wananchi, Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi wanaosimamia mradi huo. Viongozi…
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi, amesema Kanisa Katoliki halina ugomvi wowote na serikali na halina mpango wa kupigana nayo mieleka. Askofu Ruwa’ichi…
Baada ya hatua kubwa zilizopigwa katika sekta za afya, umeme, afya na elimu mkoani Kilimanjaro, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kuhamishia nguvu katika…
Mahakama ya kijeshi nchini Kongo- DRC imemhukumu kifo aliyekuwa rais Joseph Kabila baada ya kumtia hatiani kwa usaliti na uhalifu dhidi ya binadamu. Chama chake PPRD kimesema kesi hiyo ni…
Na Mwandishi wetu, Shinyanga BENKI ya NMB imezindua tawi maalum la NMB Tinde Mnadani mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya kuzingatia dhamira yake ya muda mrefu ya kusambaza huduma za kifedha…
Na Mwandishi Wetu, Madagascar Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina ametangaza kulivunja baraza lake la mawaziri kufuatia maandamano mabaya zaidi kuripotiwa kwenye kisiwa hicho. Hatua hiyo imekuja baada ya raia kupinga…
Na Mwandishi Wetu, Geita Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita yamehitimishwa rasmi na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ambayo yalifunguliwa…
Wakati kampeni za uchaguzi mkuu ziking’oa nanga mwishoni mwa wiki iliyopita nchini Cameroon, kiongozi mkongwe wa taifa hilo Paul Biya anayewania kuchaguliwa kwa muhula wa nane hakuonekana. Kwa mujibu wa…