Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Wazamiaji wasababisha Marekani ibane visa kwa Watanzania

Wazamiaji wasababisha Marekani ibane visa kwa Watanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

SERIKALI ya Marekani imesema itadhibiti utoaji wa visa kwa Watanzania wanaokwenda nchini humo kutokana na raia wake kukithiri kwa kukaa zaidi ya muda uliopaswa (overstay). Kwa mujibu wa tamko la…

Continue ReadingWazamiaji wasababisha Marekani ibane visa kwa Watanzania
Read more about the article NMB yaja na maboresho ya huduma kwa wakandarasi Zanzibar

NMB yaja na maboresho ya huduma kwa wakandarasi Zanzibar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar  Katika kuendelea kuimarisha sekta ya ujenzi visiwani Zanzibar, Benki ya NMB imezindua maboresho ya masuluhisho mbalimbali maalum kwa ajili ya makandarasi zikilenga kuwezesha kampuni za ndani…

Continue ReadingNMB yaja na maboresho ya huduma kwa wakandarasi Zanzibar
Read more about the article DAWASA yatoa ratiba upatikanaji wa maji Dar, Pwani

DAWASA yatoa ratiba upatikanaji wa maji Dar, Pwani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Continue ReadingDAWASA yatoa ratiba upatikanaji wa maji Dar, Pwani
Read more about the article Wabunge Marekani waahidi kuitembelea Tanzania

Wabunge Marekani waahidi kuitembelea Tanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Ujumbe wa Kamati Ndogo ya Afrika ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, umesema utakuja kuitembelea Tanzania mwaka 2026 ili kuimarisha ushirikiano zaidi ya baina ya mataifa hayo mawili. Mwanachama wa…

Continue ReadingWabunge Marekani waahidi kuitembelea Tanzania
Read more about the article Waziri Aweso, RC Dar, Pwani na Moro mguu kwa mguu Bwawa la Kidunda

Waziri Aweso, RC Dar, Pwani na Moro mguu kwa mguu Bwawa la Kidunda

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 16, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso leo Disemba 16, 2025 akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Pwani na Mkuu wa Mkoa…

Continue ReadingWaziri Aweso, RC Dar, Pwani na Moro mguu kwa mguu Bwawa la Kidunda
Read more about the article NMB yakabidhi vifaa tiba vya Milioni 15 Makole Dodoma

NMB yakabidhi vifaa tiba vya Milioni 15 Makole Dodoma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 16, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Benki ya NMB imekabidhi vifaa tiba na mahitaji mbalimbali vyenye thamani ya sh milioni 15 kwa Kituo cha Afya Makole jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuimarisha…

Continue ReadingNMB yakabidhi vifaa tiba vya Milioni 15 Makole Dodoma
Read more about the article Katibu mkuu ACT ashiriki kuaga mwili wa Jenista

Katibu mkuu ACT ashiriki kuaga mwili wa Jenista

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ndugu Ado Shaibu Ado leo ameshiriki misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la…

Continue ReadingKatibu mkuu ACT ashiriki kuaga mwili wa Jenista
Read more about the article Tanzania, Marekani kuimarisha ushirikiano

Tanzania, Marekani kuimarisha ushirikiano

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Serikali ya Tanzania na Marekani zimekubaliana kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia, ikiwa ni mwendelezo wa ushirikiano wa muda mrefu baina ya mataifa hayo. Hatua hiyo, imefikiwa wakati wa ziara ya Waziri…

Continue ReadingTanzania, Marekani kuimarisha ushirikiano
Read more about the article UN: Tanzania kielelezo cha amani duniani

UN: Tanzania kielelezo cha amani duniani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema Tanzania imeendelea kuwa kielelezo cha amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na duniani, akisisitiza kuwa dunia inalitazama Taifa hilo kama…

Continue ReadingUN: Tanzania kielelezo cha amani duniani
Read more about the article DC Msando mguu kwa mguu Mburahati ufufuaji visima

DC Msando mguu kwa mguu Mburahati ufufuaji visima

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Abert Msando ametembelea na kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo huku akitoa maelekezo kufufuliwa kwa visima vinne katika…

Continue ReadingDC Msando mguu kwa mguu Mburahati ufufuaji visima
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu