NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya…
Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia zilizoondokewa na ndugu, jamaa na marafiki katika vurugu zilizotokea Oktoba 29,2025, akisema ni msiba wa…
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali anayoiongoza haitakubali kupangiwa cha kufanya na mataifa ya nje, bali itaamua mambo yake kwa maslahi ya Watanzania. Dkt Samia ameeleza hayo leo Jumanne Disemba…
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo tayari kwa maridhiano kwa kufuata njia sahihi na sio kupewa masharti ya nini cha kufanya ili kulifanikisha hilo. Katika hoja yake hiyo, amewajibu…
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wenye nia ya kuwania urais mwaka 2030 wasiivuruge nchi, huku akiwasihi wateule wake wenye dhamira hiyo wapishe ili wakafanye harakati hizo wakiwa nje ya Serikali.…
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani baada ya Uchaguzi, imesema itafanya kazi yake kwa weledi na kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu yeyote na kwa viwango kwa…
Halmashauri ya Wilaya ya Magu leo Alhamisi tarehe 27 Novemba 2025 imetoa mafunzo ya uandaaji na utekelezaji wa mipango na bajeti kwa maafisa bajeti wa idara na vitengo pamoja na…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Juma Homera ameupongeza mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za…
Mkurugenzi wa MashtakaTanzania (DPP), amewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa 210 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kula njama na kutenda kosa la uhaini. Washtakiwa hao wameachiwa leo Novemba 24, 2025…
Tanzania imeshinda kiti cha Ujumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia ya Unesco (World Heritage Committee) katika uchaguzi uliofanyika Novemba 24,2025 jijini Paris, Ufaransa. Kamati ya Urithi wa Dunia ni…