Balozi Mwamweta, Mtaka wasaka soko la parachichi Ujerumani
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassani Iddi Mwamweta anaongoza ujumbe wa wakulima na wafanyabiashara kutoka Tanzania unaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Matunda na Mbogamboga ya Fruit Logistica 2026 yanayofanyika Berlin…
Rais Samia ahitimisha ziara ya kimkakati Dubai
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai, mara baada ya kuhitimisha…
Serikali kuongeza mikopo ya halmashauri hadi asilimia 15
Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepanga kuongeza mikopo ya halmashauri kwa vijana, wanawake na wenye ulemavu, kutoka asilimia 10 hadi 15, utakapoanza mwaka ujao wa fedha 2026/27.…
Rais Samia atoa bilioni 200/- kuwezesha vijana, wanawake
Zile fedha kiasi cha Sh. bilioni 200 kwa ajili ya uwezeshaji biashara za vijana na wanawake sio ahadi tena, tayari Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imeshazitoa na…
NMB yakabidhi vifaa vya milioni 105, shule, hospitali Manyara
Na Mwandishi Wetu, Manyara Benki ya NMB imekabidhi vifaa mbalimbali katika shule za Msingi na Sekondari katika Mkoa wa Manyara kwa ajili ya kuboresha mazingira ya ujifunzaji wa wanafunzi na…
Magu yagawa vifaa saidizi kwa walimu wenye mahitaji maalumu
Walimu wenye mahitaji maalumu katika Halmashauri ya wilaya ya Magu wamekabidhiwa vifaa saidizi kwa lengo la kuboresha mbinu za ufundishaji na kuongeza ufanisi wa utoaji wa elimu. Vifaa hivyo kutoka…
Dkt Samia anavyoitangaza Tanzania duniani
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imepanda nafasi tisa katika orodha ya mataifa yanayotajwa kuwa vituo bora vya uwekezaji duniani, akiwahakikishia wawekezaji kuwepo kwa miundombinu bora ya kukuza biashara.…
Wananchi Mwamanga waishukuru serikali kuwapatia hatimiliki za kimila
Wananchi wa Kijiji cha Mwamanga, Kata ya Mwamanga wilayani Magu wameishukuru serikali kwa kuwapimia maeneo yao na kuwapatia hati za hakimiliki za kimila hatua inayoelezwa kuwa itapunguza migogoro na kupandisha…
Dkt. Samia atangaza fursa za uwekezaji Tanzania mbele ya viongozi wa Dunia
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa hakikisho la miundombinu bora ya uwekezaji nchini kwa wawekezaji duniani, akisema Tanzania imewekeza vema katika ujenzi wa reli, nishati, bandari na miundombinu ya uchukuzi.…
- Go to the previous page
- 1
- …
- 18
- 19
- 20
- 21
- 22
- 23
- 24
- …
- 126
- Go to the next page
