Wamiliki mabasi: Huduma zinaendelea hatugomi, Rais Samia ametusikiliza
Tunaposema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Sikivu tunamaanisha.Hii limedhiirika baada ya Serikali kupokea na kuahidi kuyafanyia kazi maombi ya wasafirishaji. Wasafirishaji hao wakiwemo…
