Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini

NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Uncategorized

Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya…

Continue ReadingNMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
Read more about the article Dkt Samia: Poleni wafiwa, jeraha litatibiwa na sisi Watanzania

Dkt Samia: Poleni wafiwa, jeraha litatibiwa na sisi Watanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia zilizoondokewa na ndugu, jamaa na marafiki katika vurugu zilizotokea Oktoba 29,2025, akisema ni msiba wa…

Continue ReadingDkt Samia: Poleni wafiwa, jeraha litatibiwa na sisi Watanzania
Read more about the article Dkt Samia: Who are you? Msitupangie

Dkt Samia: Who are you? Msitupangie

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali anayoiongoza haitakubali kupangiwa cha kufanya na mataifa ya nje, bali itaamua mambo yake kwa maslahi ya Watanzania. Dkt Samia ameeleza hayo leo Jumanne Disemba…

Continue ReadingDkt Samia: Who are you? Msitupangie
Read more about the article Rais Samia: Tutaridhiana kwa njia sahihi, siyo kwa masharti

Rais Samia: Tutaridhiana kwa njia sahihi, siyo kwa masharti

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo tayari kwa maridhiano kwa kufuata njia sahihi na sio kupewa masharti ya nini cha kufanya ili kulifanikisha hilo. Katika hoja yake hiyo, amewajibu…

Continue ReadingRais Samia: Tutaridhiana kwa njia sahihi, siyo kwa masharti
Read more about the article Dkt Samia: Wanaoutaka urais 2030 wasituvurugie nchi

Dkt Samia: Wanaoutaka urais 2030 wasituvurugie nchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wenye nia ya kuwania urais mwaka 2030 wasiivuruge nchi, huku akiwasihi wateule wake wenye dhamira hiyo wapishe ili wakafanye harakati hizo wakiwa nje ya Serikali.…

Continue ReadingDkt Samia: Wanaoutaka urais 2030 wasituvurugie nchi
Read more about the article Jaji Chande: Tutafanya uchunguzi huru na kamilifu
MOHAMMED CHANDE OTHMAN

Jaji Chande: Tutafanya uchunguzi huru na kamilifu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani baada ya Uchaguzi, imesema itafanya kazi yake kwa weledi na kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu yeyote na kwa viwango kwa…

Continue ReadingJaji Chande: Tutafanya uchunguzi huru na kamilifu
Read more about the article Maofisa bajeti Magu wapewa mafunzo ya uandaaji, utekelezaji wa mipango na bajeti

Maofisa bajeti Magu wapewa mafunzo ya uandaaji, utekelezaji wa mipango na bajeti

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Halmashauri ya Wilaya ya Magu leo Alhamisi tarehe 27 Novemba 2025 imetoa mafunzo ya uandaaji na utekelezaji wa mipango na bajeti kwa maafisa bajeti wa idara na vitengo pamoja na…

Continue ReadingMaofisa bajeti Magu wapewa mafunzo ya uandaaji, utekelezaji wa mipango na bajeti
Read more about the article Dk. Homera aipongeza RITA kuwajengea uwezo wadhamini

Dk. Homera aipongeza RITA kuwajengea uwezo wadhamini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Juma Homera ameupongeza mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za…

Continue ReadingDk. Homera aipongeza RITA kuwajengea uwezo wadhamini
Read more about the article 210 wafutiwa mashtaka ya uhaini Arusha, Dar, Mwanza

210 wafutiwa mashtaka ya uhaini Arusha, Dar, Mwanza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi wa MashtakaTanzania (DPP), amewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa 210 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kula njama na kutenda kosa la uhaini. Washtakiwa hao wameachiwa leo Novemba 24, 2025…

Continue Reading210 wafutiwa mashtaka ya uhaini Arusha, Dar, Mwanza
Read more about the article Tanzania yaibuka kidedea ujumbe kamati ya urithi wa Dunia Unesco
Screenshot

Tanzania yaibuka kidedea ujumbe kamati ya urithi wa Dunia Unesco

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Tanzania imeshinda kiti cha Ujumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia ya Unesco (World Heritage Committee) katika uchaguzi uliofanyika Novemba 24,2025 jijini Paris, Ufaransa. Kamati ya Urithi wa Dunia ni…

Continue ReadingTanzania yaibuka kidedea ujumbe kamati ya urithi wa Dunia Unesco
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu