Rais Samia ashiriki mkutano wa wakuu wa nchi Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU) na Serikali…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU) na Serikali…
Katika kuunga mkono jitihada za Serikali za kukuza shughuli za ufugaji nchini, Benki ya NMB imesaini makubaliano ya udhamini wa miaka mitatu kwa ajili ya maonesho ya Mifugo ya Kimataifa…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amependekezwa kuteuliwa kuwa kinara wa Umoja wa Afrika (AU) katika Masuala ya Afya ya Mama na Mtoto, uteuzi ambao unatarajiwa kupitishwa rasmi na Mkutano wa…
Na Mwandishi Wetu, Afrika Kusini Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kinashiriki katika Kongamano la Kimataifa la Madini (Mining Indaba 2026) linaloendelea jijini Cape Town, Afrika…
Na Mwandishi Wetu, Katavi Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Zuberi Homera, amezitaka Bodi za Wadhamini zinazosimamia taasisi zisizo za kiserikali, taasisi za kidini, michezo na taasisi nyingine zinazotoa…
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Sekta ya Biashara na Uwekezaji katika Wilaya ya Magu imepongezwa kwa kuboresha mazingira rafiki ya ufanyaji wa biashara hatua iliyochochea ongezeko la makusanyo ya mapato kutoka…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimebainisha maeneo 20 muhimu ambayo Serikali imeyaainisha hivi karibuni kwa Watanzania waweze kushiriki kikamilifu…
Maandalizi ya awali ya ujenzi wa Kiwanja Kipya cha Ndege cha Kimataifa cha Serengeti yameanza rasmi, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa usafiri wa anga nchini na kurahisisha upatikanaji wa utalii…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema atachukua hatua za kumuondoa mtendaji yeyote kati ya wateule wake atakayeshindwa kuendana na kasi ya utendaji wake. Dkt Samia ameeleza hayo leo, Jumatatu Februari…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka watendaji wote aliowateuwa na kuwaapisha, kuhakikisha wanaifanya Tanzania iendelee na wasimamie utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050. Dkt Samia ametoa…