Balozi wa Palestina atembelea DAR-PC, ateta na uongozi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Balozi wa Palestina anayeiwakilisha nchi yake Tanzania, Salim Siam mapema leo Alhamisi Desemba 18, 2025, amefanya ziara katika Ofisi za Klabu ya Waandishi wa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Balozi wa Palestina anayeiwakilisha nchi yake Tanzania, Salim Siam mapema leo Alhamisi Desemba 18, 2025, amefanya ziara katika Ofisi za Klabu ya Waandishi wa…
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo, amelaani tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kutumia mamlaka na ushawishi wao kwa waumini kuhalalisha migogoro na migawanyiko ndani ya mataifa yao.…
SERIKALI ya Marekani imesema itadhibiti utoaji wa visa kwa Watanzania wanaokwenda nchini humo kutokana na raia wake kukithiri kwa kukaa zaidi ya muda uliopaswa (overstay). Kwa mujibu wa tamko la…
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Katika kuendelea kuimarisha sekta ya ujenzi visiwani Zanzibar, Benki ya NMB imezindua maboresho ya masuluhisho mbalimbali maalum kwa ajili ya makandarasi zikilenga kuwezesha kampuni za ndani…
Ujumbe wa Kamati Ndogo ya Afrika ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, umesema utakuja kuitembelea Tanzania mwaka 2026 ili kuimarisha ushirikiano zaidi ya baina ya mataifa hayo mawili. Mwanachama wa…
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso leo Disemba 16, 2025 akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Pwani na Mkuu wa Mkoa…
Benki ya NMB imekabidhi vifaa tiba na mahitaji mbalimbali vyenye thamani ya sh milioni 15 kwa Kituo cha Afya Makole jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuimarisha…
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ndugu Ado Shaibu Ado leo ameshiriki misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la…
Serikali ya Tanzania na Marekani zimekubaliana kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia, ikiwa ni mwendelezo wa ushirikiano wa muda mrefu baina ya mataifa hayo. Hatua hiyo, imefikiwa wakati wa ziara ya Waziri…