Dkt Samia: Amani na utulivu, umekuza uwekezaji nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema amani, usalama na utulivu wa kisiasa ni miongoni mwa mambo yanayokuza uwekezaji nchini, huku akiwaonya wanaotaka kuiharibu. Dkt Samia…
