Dkt Samia: Mkipata vyeo msivimbe
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia watendaji wa Serikali kuwa vyeo ni dhamana, akisema ni dhambi kubwa mtu kupata cheo kisha kuvimba mabega. Ametoa rai hiyo…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia watendaji wa Serikali kuwa vyeo ni dhamana, akisema ni dhambi kubwa mtu kupata cheo kisha kuvimba mabega. Ametoa rai hiyo…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake imeshapeleka vijana zaidi ya 7,000 kufanya kazi nje ya nchi, akisisitiza haki na stahiki zao zikasimamiwe vema. Mkuu…
Rais Samia Suluhu Hassan amemkaribisha mshambuliaji wa zamani wa Ivory Coast, Didier Drogba, kuwa balozi maalum wa Tanzania kuelekea fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Rais…
Rais wa Kenya, William Ruto, ameeleza sababu za kupendekezwa kwa ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta (refinery) mkoani Tanga badala ya Kenya, akisisitiza kuwa mradi huo ni wa kikanda, si…
Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, amempongeza Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa uongozi bora na kusimama imara wakati wa vurugu za Oktoba 29,2025. Aidha, amempongeza kwa mchango…
Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, amesema Kampuni 500 za Kenya zimewekeza Dola za Marekani bilioni 1.7 nchini Tanzania. Amesema uwekezaji huo umeongeza ajira za mamilioni ya watu na kukuza…
Rais wa Kenya, William Ruto, amehimiza kuwapo kwa mshikamano mkubwa wa kikanda kati ya Tanzania na Kenya, huku akiwataja maaduia wakubwa wa nchi hizo ni umasikini na ukosefu wa ajira.…
Serikali ya Tanzania na Kenya zimesaini mikataba nane ya ushirikiano, ikiwa ni ishara ya kuendelea kuimarika kwa uhusiano wa mataifa hayo. Mikataba hiyo imetiwa saini leo, Jumatatu Mei 4, 2026…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Kenya, Dk William Ruto, amempongeza Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa kuonyesha uongozi kipindi cha kuzivuka changamoto zilizotokea Oktoba 29,…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali inalenga kushirikiana na Kenya kuwawezesha vijana katika masuala ya ubunifu na teknolojia. Amesema hatua hiyo, inalenga kuyafanya…