Madiwani Magu DC wapigwa msasa utekelezaji wa bima ya afya kwa wote
Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Magu wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote, kufuatia serikali kutangaza rasmi kuanza kwa utekelezaji wa sheria hiyo nchini Januari…
