Wenger aimwagia sifa Tanzania, asema ina kizazi cha mabingwa wa soka
Mkuu wa Maendeleo ya Soka wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Arsène Wenger, amesema mafanikio ya timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys, yanaonyesha…
