Rais Samia azindua rasmi ujenzi SGR Tabora-Kigoma
Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma, yenye urefu wa kilomita 506. Mradi huo, utagharimu Sh6.23 trilioni kwa…
Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma, yenye urefu wa kilomita 506. Mradi huo, utagharimu Sh6.23 trilioni kwa…
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua meli nne mpya za mizigo zenye uwezo wa kubeba tani 2,000 kila moja katika hafla ya kitaifa iliyofanyika leo, Julai 20, 2026, katika Bandari ya…
Meli ya kusafirisha mafuta yenye bendera ya Tanzania imetekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa maharamia wa Kisomali katika pwani ya Yemen. Haya ni kwa mujibu wa vyanzo vya usalama na…
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake imekubaliana kushirikiana na Misri katika kilimo cha mazao na mifugo ili kunufaika na soko la mataifa ya Afrika ambayo hutumia Dola za Marekani…
Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi, amesema Tanzania na Misri zimekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, biashara na uwekezaji kwa lengo la kuleta manufaa kwa wananchi wa mataifa hayo mawili.…
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 18, 2026 amempokea Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Abdel Fattah El-Sisi aliyewasili Nchini kwa ziara ya Kitaifa. Kwa mujibu wa taarifa ya…
Na Mwandishi Wetu, Lushoto Wananchi wa Jimbo la Lushoto wameishukuru Serikali kwa ujenzi wa Barabara ya Malibwi–Kwekanga–Ngwelo, wakisema hatua hiyo imeondoa kero ya muda mrefu iliyokuwa ikikwamisha shughuli za usafiri…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Ule msemo wa Kiswahili unaosema "Mgeni njoo, mwenyeji apone" unaendelea kupata uhalisia kupitia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, mradi mkubwa unaotekelezwa na…
Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh2.63 bilioni ili kusaidia kuimarisha maandalizi na utayari wa Tanzania katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola.…
Na Mwandishi Wetu, Malawi NCHI wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa…