Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Dk Samia: Siku chache nitaunda tume ya maridhiano

Dk Samia: Siku chache nitaunda tume ya maridhiano

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 23, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema ndani ya siku au wiki chache zijazo, Serikali yake itaundwa Tume ya Maridhiano na Muafaka wa Kitaifa, ikijumuisha wadau wote muhimu. Dkt Samia ametoa…

Continue ReadingDk Samia: Siku chache nitaunda tume ya maridhiano
Read more about the article Dkt Samia: Yaliyotokea yatupe funzo tushirikiane, tuimarike

Dkt Samia: Yaliyotokea yatupe funzo tushirikiane, tuimarike

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 23, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni rahisi kuivunja amani, lakini si rahisi kuirejesha hivyo hatima ya Tanzania ipo mikononi mwa Watanzania wenyewe. Dkt Samia ameeleza hayo leo Aprili 23,2026 wakati…

Continue ReadingDkt Samia: Yaliyotokea yatupe funzo tushirikiane, tuimarike
Read more about the article Jaji Chande: Oktoba 29 hayakuwa maandamano, zilikua vurugu za kupangwa

Jaji Chande: Oktoba 29 hayakuwa maandamano, zilikua vurugu za kupangwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 23, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025, imesema kilichotokea Oktoba 29 hakikuwa maandamano ya amani bali ghasia zilizoambatana na matukio…

Continue ReadingJaji Chande: Oktoba 29 hayakuwa maandamano, zilikua vurugu za kupangwa
Read more about the article Tume: Wafanyavurugu walikuwa na vilipuzi, bunduki

Tume: Wafanyavurugu walikuwa na vilipuzi, bunduki

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 23, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Tume ya uchunguzi wa ghasia wakati na baada ya uchaguzi, imesema walioshiriki vurugu za Oktoba 29, 2025 walikuwa na silaha mbalimbali ikiwemo bunduki na vilipuzi. Hayo yameelezwa Ikulu jijini Dar…

Continue ReadingTume: Wafanyavurugu walikuwa na vilipuzi, bunduki
Read more about the article Tume: Watu 518 walifariki Oktoba 29

Tume: Watu 518 walifariki Oktoba 29

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 23, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Tume ya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi, imesema jumla ya watu 518 walipoteza maisha kutokana na ghasia za siku ya uchaguzi wa Oktoba…

Continue ReadingTume: Watu 518 walifariki Oktoba 29
Read more about the article Jaji Chande: Wanasiasa, wanaharakati walichochea ghasia Oktoba 29

Jaji Chande: Wanasiasa, wanaharakati walichochea ghasia Oktoba 29

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 23, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani Oktoba, 2025 imesema baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kuwashawisha na kuwachochoea kushiriki…

Continue ReadingJaji Chande: Wanasiasa, wanaharakati walichochea ghasia Oktoba 29
Read more about the article DAWASA yawaunganishia maji kwa mkopo wakazi wa Kibosha

DAWASA yawaunganishia maji kwa mkopo wakazi wa Kibosha

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 21, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Pwani ZAIDI ya wakazi 100 wa Kitongoji cha Kibosha Mji Mpya kilichopo kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wamejitokeza kuomba kuunganishiwa huduma ya majisafi na…

Continue ReadingDAWASA yawaunganishia maji kwa mkopo wakazi wa Kibosha
Read more about the article Dkt. Samia: Amani ni hazina yetu kiuchumi, kijamii

Dkt. Samia: Amani ni hazina yetu kiuchumi, kijamii

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 21, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amani iliyopo nchini ni hazina ya shughuli za kiuchumi na kijamii. Dkt Samia amesisitiza kuwa bila amani,…

Continue ReadingDkt. Samia: Amani ni hazina yetu kiuchumi, kijamii
Read more about the article Equinor yafanya ziara bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG

Equinor yafanya ziara bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 18, 2026
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Mtwara Kampuni ya Equinor kutoka Norway, ambayo ni miongoni mwa kampuni zinazotarajiwa kuwekeza  katika mradi wa gesi asilia (LNG), imefanya ziara katika Bandari ya Mtwara kujionea maboresho…

Continue ReadingEquinor yafanya ziara bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG
Read more about the article NMB yatoa milioni 500 kuimarisha huduma za upandikizaji figo na uboho BMH

NMB yatoa milioni 500 kuimarisha huduma za upandikizaji figo na uboho BMH

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeahidi kutoa Sh milioni 500 ndani ya kipindi cha miaka miwili kwa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), kusaidia upanuzi wa huduma…

Continue ReadingNMB yatoa milioni 500 kuimarisha huduma za upandikizaji figo na uboho BMH
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu