Dk Samia: Siku chache nitaunda tume ya maridhiano
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema ndani ya siku au wiki chache zijazo, Serikali yake itaundwa Tume ya Maridhiano na Muafaka wa Kitaifa, ikijumuisha wadau wote muhimu. Dkt Samia ametoa…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema ndani ya siku au wiki chache zijazo, Serikali yake itaundwa Tume ya Maridhiano na Muafaka wa Kitaifa, ikijumuisha wadau wote muhimu. Dkt Samia ametoa…
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni rahisi kuivunja amani, lakini si rahisi kuirejesha hivyo hatima ya Tanzania ipo mikononi mwa Watanzania wenyewe. Dkt Samia ameeleza hayo leo Aprili 23,2026 wakati…
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025, imesema kilichotokea Oktoba 29 hakikuwa maandamano ya amani bali ghasia zilizoambatana na matukio…
Tume ya uchunguzi wa ghasia wakati na baada ya uchaguzi, imesema walioshiriki vurugu za Oktoba 29, 2025 walikuwa na silaha mbalimbali ikiwemo bunduki na vilipuzi. Hayo yameelezwa Ikulu jijini Dar…
Tume ya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi, imesema jumla ya watu 518 walipoteza maisha kutokana na ghasia za siku ya uchaguzi wa Oktoba…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani Oktoba, 2025 imesema baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kuwashawisha na kuwachochoea kushiriki…
Na Mwandishi Wetu, Pwani ZAIDI ya wakazi 100 wa Kitongoji cha Kibosha Mji Mpya kilichopo kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wamejitokeza kuomba kuunganishiwa huduma ya majisafi na…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amani iliyopo nchini ni hazina ya shughuli za kiuchumi na kijamii. Dkt Samia amesisitiza kuwa bila amani,…
Na Mwandishi Wetu, Mtwara Kampuni ya Equinor kutoka Norway, ambayo ni miongoni mwa kampuni zinazotarajiwa kuwekeza katika mradi wa gesi asilia (LNG), imefanya ziara katika Bandari ya Mtwara kujionea maboresho…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeahidi kutoa Sh milioni 500 ndani ya kipindi cha miaka miwili kwa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), kusaidia upanuzi wa huduma…