Dkt Samia: Asiyeendana na kasi yangu atatupisha
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema atachukua hatua za kumuondoa mtendaji yeyote kati ya wateule wake atakayeshindwa kuendana na kasi ya utendaji wake. Dkt Samia ameeleza hayo leo, Jumatatu Februari…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema atachukua hatua za kumuondoa mtendaji yeyote kati ya wateule wake atakayeshindwa kuendana na kasi ya utendaji wake. Dkt Samia ameeleza hayo leo, Jumatatu Februari…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka watendaji wote aliowateuwa na kuwaapisha, kuhakikisha wanaifanya Tanzania iendelee na wasimamie utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050. Dkt Samia ametoa…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema uteuzi wa watendaji wa nafasi mbalimbali alioufanya hivi karibuni, umelenga kuongeza kasi ya utendaji, kuimarisha uwajibikaji, kulinganisha majukumu na vipaumbele vya Taifa na kuendana…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa Jiji la Dar es Salaam, wasihodhi maeneo katika Soko la Kariakoo na kuwakodishia wafanyabiashara, badala yake shughuli hiyo ifanywe na Shirika la…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema anatambua juhudi za wafanyabiashara wadogo yaani machinga na mawinga katika kujitafutia kipato, ndiyo maana Serikali yake imejikita katika juhudi za kurasimisha biashara zao. Dkt…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametaka mbali na vyumba vya kunyonyeshea katika Soko la Kariakoo, kujengwe vyumba vya malezi ya watoto, kwa kuishirikisha sekta binafsi, ili mama zao wanaofanya biashara…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema uamuzi wa Serikali kulijenga upya Soko la Kariakoo, umelenga kurejesha vipato, kulinda ajira na kuimarisha hadhi ya biashara, jambo linaloakisi falsafa ya Kazi na…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimezitaka kampuni za kigeni zinazowekeza katika sekta ya madini nchini kuhakikisha zinatoa kipaumbele kwa…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo Julai mwaka huu, huenda meli ya kwanza ikasafiri kutoka Tanga nchini Tanzania kusafirisha mafuta yanayotokana na Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza namna walivyokubaliana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kuhusu kuimarisha shughuli za usafiri na usafirishaji baina ya mataifa…