Dkt Samia: Serikali imeanza kulipa madai ya wafanyakazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imeanza kulipa malimbikizo ya madeni ya hifadhi ya jamii, posho za likizo na uhamisho. Pia, imeanza kulipa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imeanza kulipa malimbikizo ya madeni ya hifadhi ya jamii, posho za likizo na uhamisho. Pia, imeanza kulipa…
Na Mwandishi Wetu, Njombe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo ameikabidhi Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) tuzo maalum ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi…
Na Mwandishi Wetu, Mwanza KATIKA kutimiza lengo la kuishirikisha jamii kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu uhamiaji, Idara ya Uhamiaji wilayani Magu imezindua klabu za uhamiaji shuleni kwa lengo la kuwajengea uelewa…
Wakazi wa Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo wafurahishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (booster pump) katika eneo hilo…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kulinda maisha ya wafanyakazi, baada ya kufikia zaidi ya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KATIKA kuunga mkono dhamira ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda yakuendeleza michezo yote nchini kwa vitendo, Shule yakimataifa ya Monti…
Na Mwandishi Wetu, Kagera Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) imerejea dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu hapa nchini kupitia mpango wake…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema uzinduzi wa boti mpya ya uvuvi wa bahari kuu, ni mpango na mfumo unaounganisha uvuvi, uzalishaji viwandani na masoko. Mkuu huyo wa nchi, ametoa…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema amedhamiri kulifufua Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), ili liwe na uwezo wa kusimamia uvunaji wa rasilimali za bahari kuu. Mkuu huyo wa nchi, ametoa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Baraza kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) limekutana kujadili na kuweka mwelekeo wa vipaumbele vya…