Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Dkt Samia: Serikali imeanza kulipa madai ya wafanyakazi

Dkt Samia: Serikali imeanza kulipa madai ya wafanyakazi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 1, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imeanza kulipa malimbikizo ya madeni ya hifadhi ya jamii, posho za likizo na uhamisho. Pia, imeanza kulipa…

Continue ReadingDkt Samia: Serikali imeanza kulipa madai ya wafanyakazi
Read more about the article Rais Samia aikabidhi NBC tuzo ya ufanikishaji wa maadhimisho ya Mei Mosi Njombe

Rais Samia aikabidhi NBC tuzo ya ufanikishaji wa maadhimisho ya Mei Mosi Njombe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 1, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Njombe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo ameikabidhi Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) tuzo maalum ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi…

Continue ReadingRais Samia aikabidhi NBC tuzo ya ufanikishaji wa maadhimisho ya Mei Mosi Njombe
Read more about the article Kampeni ya ‘Mjue Jirani Yako’ yashika kasi Magu, wanafunzi wanolewa kuhusu uhamiaji

Kampeni ya ‘Mjue Jirani Yako’ yashika kasi Magu, wanafunzi wanolewa kuhusu uhamiaji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 30, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Mwanza KATIKA kutimiza lengo la kuishirikisha jamii kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu uhamiaji, Idara ya Uhamiaji wilayani Magu imezindua klabu za uhamiaji shuleni kwa lengo la kuwajengea uelewa…

Continue ReadingKampeni ya ‘Mjue Jirani Yako’ yashika kasi Magu, wanafunzi wanolewa kuhusu uhamiaji
Read more about the article Ujenzi kituo cha kusukuma maji Golani wafikia asilimia 80, waongeza kicheko Saranga, Ukombozi

Ujenzi kituo cha kusukuma maji Golani wafikia asilimia 80, waongeza kicheko Saranga, Ukombozi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 29, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wakazi wa Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo wafurahishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (booster pump) katika eneo hilo…

Continue ReadingUjenzi kituo cha kusukuma maji Golani wafikia asilimia 80, waongeza kicheko Saranga, Ukombozi
Read more about the article EACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini

EACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 29, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kulinda maisha ya wafanyakazi, baada ya kufikia zaidi ya…

Continue ReadingEACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini
Read more about the article Kocha bingwa Mmarekani kuongoza kambi maalumu ya kuogelea Dar

Kocha bingwa Mmarekani kuongoza kambi maalumu ya kuogelea Dar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 27, 2026
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KATIKA kuunga mkono dhamira ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda yakuendeleza michezo yote nchini kwa vitendo, Shule yakimataifa ya Monti…

Continue ReadingKocha bingwa Mmarekani kuongoza kambi maalumu ya kuogelea Dar
Read more about the article EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini

EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 26, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Kagera Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) imerejea dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu hapa nchini kupitia mpango wake…

Continue ReadingEACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini
Read more about the article Dkt Samia: Tunaiunganisha sekta ya uvuvi na viwanda, masoko

Dkt Samia: Tunaiunganisha sekta ya uvuvi na viwanda, masoko

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 25, 2026
  • Post category:Usafiri wa Majini

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema uzinduzi wa boti mpya ya uvuvi wa bahari kuu, ni mpango na mfumo unaounganisha uvuvi, uzalishaji viwandani na masoko. Mkuu huyo wa nchi, ametoa…

Continue ReadingDkt Samia: Tunaiunganisha sekta ya uvuvi na viwanda, masoko
Read more about the article Dkt Samia: Tumedhamiria kukuza uvuvi, kuzalisha ajira

Dkt Samia: Tumedhamiria kukuza uvuvi, kuzalisha ajira

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 25, 2026
  • Post category:Usafiri wa Majini

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema amedhamiri kulifufua Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), ili liwe na uwezo wa kusimamia uvunaji wa rasilimali za bahari kuu. Mkuu huyo wa nchi, ametoa…

Continue ReadingDkt Samia: Tumedhamiria kukuza uvuvi, kuzalisha ajira
Read more about the article Katibu Mkuu Maji aitaka DAWASA kufunga mkanda mapambano upotevu wa maji

Katibu Mkuu Maji aitaka DAWASA kufunga mkanda mapambano upotevu wa maji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 23, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Baraza kuu  la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) limekutana kujadili na kuweka mwelekeo wa vipaumbele vya…

Continue ReadingKatibu Mkuu Maji aitaka DAWASA kufunga mkanda mapambano upotevu wa maji
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu