Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Read more about the article Rais Samia aweka shada Kaburi la Mashujaa Urusi

Rais Samia aweka shada Kaburi la Mashujaa Urusi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 3, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan leo ameweka shada la maua katika Kaburi la Mashujaa jijini  Moscow Urusi kwa heshima ya wananchi na askari zaidi ya milioni 20 waliopoteza maisha wakati wa…

Continue ReadingRais Samia aweka shada Kaburi la Mashujaa Urusi
Read more about the article EACOP yaikabidhi VETA Dodoma mashine ya Kisasa ya Uungaji Mabomba

EACOP yaikabidhi VETA Dodoma mashine ya Kisasa ya Uungaji Mabomba

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 3, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umekabidhi mashine ya kisasa ya uungaji mabomba (Orbital Welding Equipment) kwa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA)…

Continue ReadingEACOP yaikabidhi VETA Dodoma mashine ya Kisasa ya Uungaji Mabomba
Read more about the article Wanufaika 588 wa ‘NBC Wajibika Scholarship’ waanza mafunzo ya ufundi stadi VETA

Wanufaika 588 wa ‘NBC Wajibika Scholarship’ waanza mafunzo ya ufundi stadi VETA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 3, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Jumla ya vijana 588 wanaonufaika na mpango wa ufadhili wa mafunzo ya ufundi stadi kwa vijana wa ‘NBC Wajibika Scholarship’ wameanza rasmi mafunzo yao katika vyuo…

Continue ReadingWanufaika 588 wa ‘NBC Wajibika Scholarship’ waanza mafunzo ya ufundi stadi VETA
Read more about the article TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka

TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 3, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) imesema  inatambua na kuthamini uongozi na utendaji  kazi wa viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Benki Kuu…

Continue ReadingTPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
Read more about the article Fainali AFCON U17 ilivyotoa fursa ya mtoko, furaha kwa wananchi Dar

Fainali AFCON U17 ilivyotoa fursa ya mtoko, furaha kwa wananchi Dar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2026
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Imekuwa kama mtoko wa sikukuu kwa familia mbalimbali jijini Dar es Salaam, baada ya Serikali kuandaa maeneo maalumu kwa wananchi kuangalia mechi ya fainali ya mataifa bingwa Afrika kwa vijana…

Continue ReadingFainali AFCON U17 ilivyotoa fursa ya mtoko, furaha kwa wananchi Dar
Read more about the article Simai: Kuna Yuda serikalini anakwamisha maendeleo
Mbunge kupitia Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Simai Mohamed Said,

Simai: Kuna Yuda serikalini anakwamisha maendeleo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mbunge kupitia Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Simai Mohamed Said, amekemea vitendo vya usaliti vinavyofanywa na baadhi ya viongozi ndani ya Serikali, akisema vinakwenda kinyume na dhamira…

Continue ReadingSimai: Kuna Yuda serikalini anakwamisha maendeleo
Read more about the article DAWASA yatoa elimu ya uhifadhi wa maji katika wiki ya mazingira

DAWASA yatoa elimu ya uhifadhi wa maji katika wiki ya mazingira

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni miongoni mwa taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya…

Continue ReadingDAWASA yatoa elimu ya uhifadhi wa maji katika wiki ya mazingira
Read more about the article Serikali yaazimia kufungua kituo cha fedha cha Kimataifa kuvutia uwekezaji

Serikali yaazimia kufungua kituo cha fedha cha Kimataifa kuvutia uwekezaji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imeazimia kuanzisha Kituo cha Fedha cha Kimataifa (International Financial Centre) kitakacholenga kuvutia wawekezaji wa ndani na…

Continue ReadingSerikali yaazimia kufungua kituo cha fedha cha Kimataifa kuvutia uwekezaji
Read more about the article ‎Msigwa: Bwawa la Kidunda ni mradi wa kimkakati kwa maji, kilimo na nishati

‎Msigwa: Bwawa la Kidunda ni mradi wa kimkakati kwa maji, kilimo na nishati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 31, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

‎Na Mwandishi Wetu, Morogoro Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni…

Continue Reading‎Msigwa: Bwawa la Kidunda ni mradi wa kimkakati kwa maji, kilimo na nishati
Read more about the article EACOP, TotalEnergies wawajengea uwezo wanafunzi 200 kutambua fursa sekta ya nishati
Screenshot

EACOP, TotalEnergies wawajengea uwezo wanafunzi 200 kutambua fursa sekta ya nishati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 31, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Arusha Katika juhudi za kuhakikisha sekta ya nishati inachangia kikamilifu ukuaji wa uchumi wa taifa, Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana…

Continue ReadingEACOP, TotalEnergies wawajengea uwezo wanafunzi 200 kutambua fursa sekta ya nishati
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • …
  • 135
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Close Menu
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Search this website