Rais Samia aweka shada Kaburi la Mashujaa Urusi
Rais Samia Suluhu Hassan leo ameweka shada la maua katika Kaburi la Mashujaa jijini Moscow Urusi kwa heshima ya wananchi na askari zaidi ya milioni 20 waliopoteza maisha wakati wa…
Rais Samia Suluhu Hassan leo ameweka shada la maua katika Kaburi la Mashujaa jijini Moscow Urusi kwa heshima ya wananchi na askari zaidi ya milioni 20 waliopoteza maisha wakati wa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umekabidhi mashine ya kisasa ya uungaji mabomba (Orbital Welding Equipment) kwa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA)…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Jumla ya vijana 588 wanaonufaika na mpango wa ufadhili wa mafunzo ya ufundi stadi kwa vijana wa ‘NBC Wajibika Scholarship’ wameanza rasmi mafunzo yao katika vyuo…
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) imesema inatambua na kuthamini uongozi na utendaji kazi wa viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Benki Kuu…
Imekuwa kama mtoko wa sikukuu kwa familia mbalimbali jijini Dar es Salaam, baada ya Serikali kuandaa maeneo maalumu kwa wananchi kuangalia mechi ya fainali ya mataifa bingwa Afrika kwa vijana…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mbunge kupitia Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Simai Mohamed Said, amekemea vitendo vya usaliti vinavyofanywa na baadhi ya viongozi ndani ya Serikali, akisema vinakwenda kinyume na dhamira…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni miongoni mwa taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imeazimia kuanzisha Kituo cha Fedha cha Kimataifa (International Financial Centre) kitakacholenga kuvutia wawekezaji wa ndani na…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Katika juhudi za kuhakikisha sekta ya nishati inachangia kikamilifu ukuaji wa uchumi wa taifa, Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana…