Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Kituo kinachojaza gesi magari 1200 kwa siku chazinduliwa Dar

Kituo kinachojaza gesi magari 1200 kwa siku chazinduliwa Dar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 9, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amezindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kwenye magari…

Continue ReadingKituo kinachojaza gesi magari 1200 kwa siku chazinduliwa Dar
Read more about the article Leo XIV kutoka Marekani ndiye Papa mpya

Leo XIV kutoka Marekani ndiye Papa mpya

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Kadinali Robert Prevost ametangazwa kuwa Papa mpya. Papa Robert Prevost atajulikana kama Papa Leo XIV. Kardinali Prevost ni mzaliwa wa Chicago nchini Marekani ambaye hadi anchaguliwa leo tarehe 8 Mei…

Continue ReadingLeo XIV kutoka Marekani ndiye Papa mpya
Read more about the article Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari

Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 8, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimesaini hati ya makubaliano inayolenga  kuboresha na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji, ikiwemo…

Continue ReadingTanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
Read more about the article Shule 216 za serikali zatumia nishati safi ya kupikia

Shule 216 za serikali zatumia nishati safi ya kupikia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo kati…

Continue ReadingShule 216 za serikali zatumia nishati safi ya kupikia
Read more about the article Wadau wa sanaa Magu watakiwa kujisajili BASATA

Wadau wa sanaa Magu watakiwa kujisajili BASATA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 7, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

WADAU wa sanaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wametakiwa kujisajili katika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ili watambulike kitaifa na kupata manufaa katika fursa mbalimbali zinazojitokeza…

Continue ReadingWadau wa sanaa Magu watakiwa kujisajili BASATA
Read more about the article DAR yatakiwa kujenga ghorofa kutoa huduma za afya

DAR yatakiwa kujenga ghorofa kutoa huduma za afya

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii katika Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume amesema kutokana na uhaba wa maeneo…

Continue ReadingDAR yatakiwa kujenga ghorofa kutoa huduma za afya
Read more about the article REA yapongezwa na Magereza uhamasishaji nishati safi

REA yapongezwa na Magereza uhamasishaji nishati safi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umepongezwa na Jeshi la Magereza kwa kuhamasisha, kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa taasisi zinazohudumia watu zaidi ya 100 hapa nchini. Hayo yemebainishwa…

Continue ReadingREA yapongezwa na Magereza uhamasishaji nishati safi
Read more about the article NMB yapania kuinua TEHAMA UDOM

NMB yapania kuinua TEHAMA UDOM

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) wametiliana saini Mkataba wa makubaliano (MoU) juu ya ushirikiano katika kukuza uwezo wa kiteknolojia na Tehama kwa lengo…

Continue ReadingNMB yapania kuinua TEHAMA UDOM
Read more about the article Rais Samia aongeza mishahara ya wafanyakazi kwa asilimia 35.1

Rais Samia aongeza mishahara ya wafanyakazi kwa asilimia 35.1

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 1, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Serikali itaongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1. Rais Dkt. Samia…

Continue ReadingRais Samia aongeza mishahara ya wafanyakazi kwa asilimia 35.1
Read more about the article NMB yadhamini, yashiriki kilele maadhimisho Mei Mosi 

NMB yadhamini, yashiriki kilele maadhimisho Mei Mosi 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 1, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Singida  Benki ya NMB imedhihirisha tena nafasi yake kama Mwajiri Kinara nchini kwa kudhamini na kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika…

Continue ReadingNMB yadhamini, yashiriki kilele maadhimisho Mei Mosi 
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu