Dkt. Samia: Tutajiepusha na athari za kupanda bei ya mafuta
Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema mradi wa ujenzi wa matenki ya kupokea mafuta, utaimarisha na kutoa hakikisho la usalama wa nishati ya mafuta kwa Taifa. Mkuu huyo wa nchi ameyasema…
Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema mradi wa ujenzi wa matenki ya kupokea mafuta, utaimarisha na kutoa hakikisho la usalama wa nishati ya mafuta kwa Taifa. Mkuu huyo wa nchi ameyasema…
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema uwekezaji wa Serikali katika mradi wa ujenzi wa matenki 15 ya kuhifadhi mafuta wenye thamani ya Sh 678.6 bilioni ni hatua ya kimakakati…
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MKAKATI wa uongezaji thamani katika Sekta ya Madini umeanza kuzaa matunda mkoani Kilimanjaro, baada ya kampuni ya Mega Copper Co Ltd kujikita katika uongezaji wa kiwango…
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameuawa katika shambulio kubwa dhidi ya Iran lililofanywa na Israel na Marekani, imesema televisheni ya taifa. Maafisa kadhaa waandamizi pia wameuawa. Kifo hicho…
Makamu wa Rais, Balozi Emmanuel Nchimbi ameeleza namna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan alivyoridhia kutoa ndege ya huduma za dharura kwa wagonjwa ili kufanikisha…
Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (HRC) limeipongeza Tanzania kwa kuonesha mwenendo mzuri wa kulinda haki za binadamu na amani, huku hali hiyo ikitajwa kuzorota katika mataifa…
Jumla ya Sh12.4 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB kwa zaidi ya wafanyabiashara 6,011 ambao pia wamenufaika kwa kupatiwa elimu ya fedha na uongozi. Takwimu hizo zimetolewa na Meneja Mwandamizi…
MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekiri kupokea taarifa za kukamatwa kwa meli ya FMS Eagles yenye bendera ya Tanzania, inayodaiwa kukutwa na tani 6.6 za dawa za kulevya nchini…
WIZARA ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu ongezeko la magonjwa ya mlipuko yakiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, homa ya Dengue na Kipindupindu na kutoa wito kwa jamii kuzingatia…
Na Mwandishi Wetu, Dar Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imeivunja rasmi Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia kubainika kwa mapungufu makubwa katika usimamizi wa…