Kumenoga kitita cha kwanza cha bima ya afya kwa wote kikianza
Upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wasio na uwezo nchini sio changamoto tena, baada ya kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya mpango wa bima ya afya…
Upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wasio na uwezo nchini sio changamoto tena, baada ya kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya mpango wa bima ya afya…
Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amezindua rasmi uhakiki, usajili na utoaji wa kadi za bima ya afya kwa wote wilayani humo ambapo katika awamu ya kwanza zaidi ya…
JUMLA ya Sh milioni 84 zinatarajiwa kutekeleza miradi ya ujenzi wa zahanati mbili, shule ya msingi na sekondari wilayani Magu, ikiwa ni mwendelezo jitihada serikali kuimarisha sekta ya elimu na…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema makao makuu ya ulinzi ni alama ya ukomavu wa kielelezo cha uwezo wa Taifa katika kupanga na kutekeleza miradi mikubwa kwa kutumia…
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuishi kwa misingi ya viapo vyao, akiwasisitiza kuepuka vitendo vinavyovunja heshima…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema hatua ya kukua kwa uchumi wa Taifa na maendeleo yanayoshuhudiwa ni matokeo ya kuimarika kwa hali ya ulinzi na usalama nchini na kwamba hata…
Benki ya NMB imeendeleza jitihada zake za kujenga nguvu kazi yenye ujuzi na maarifa ya kisasa katika sekta ya fedha nchini kwa kusaidia mafunzo ya kitaaluma na kitalaamu kwa vijana…
MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amekagua miradi ya ujenzi inayohusiana na sekta ya elimu ya msingi katika wilaya hiyo na kutoa maagizo ya kukamilisha miradi hiyo haraka. Aidha,…
Ripoti ya Taasisi ya kimataifa ya tathmini ya kiuchumi, Moody's Ratings, imesema Tanzania ni Taifa lenye uchumi unaokua kwa kasi na unaoaminika katika masoko ya fedha ya dunia, kunakoiwezesha kuvutia…
Kupitia Programu ya Uwekezaji kwa Jamii, Benki ya NMB imekabidhi misaada ya madawati 100, viti 100 na meza 100 kwa shule mbili za msingi na moja ya sekondari wilayani Malinyi,…