DAWASA, TANESCO wakubaliana kuimarisha huduma Dar na Pwani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri amezitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kudumisha ushirikiano baina…
