Dk. Biteko asisitiza Watanzania kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza Watanzania kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Dk. Biteko ametoa rai hiyo leo Novemba 25,2024 akiwa mkoani…
