Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article RITA yabaini wizi wa mali ya bilioni mbili msikiti wa Manyema

RITA yabaini wizi wa mali ya bilioni mbili msikiti wa Manyema

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Timu ya Uchunguzi iliyoundwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kuchunguza mali ya Msikiti wa Manyema uliopo Kariakoo Jijini Dar es Salaam…

Continue ReadingRITA yabaini wizi wa mali ya bilioni mbili msikiti wa Manyema
Read more about the article Soaring to New Heights: The Inspiring Journey of Captain Mohammed Abubakar

Soaring to New Heights: The Inspiring Journey of Captain Mohammed Abubakar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 15, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga

Nigeria: In the bustling city of Kaduna, Nigeria, where dreams often collide with harsh realities, one man's journey is a beacon of hope and determination. Mohammed Abubakar’s remarkable ascent from…

Continue ReadingSoaring to New Heights: The Inspiring Journey of Captain Mohammed Abubakar
Read more about the article Michuano CHAN 2025 yaahirishwa hadi Agosti

Michuano CHAN 2025 yaahirishwa hadi Agosti

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) leo Jumanne limetangaza kuahirishwa kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (CHAN) Kenya, Tanzania, Uganda 2024…

Continue ReadingMichuano CHAN 2025 yaahirishwa hadi Agosti
Read more about the article Rungu la CAF latua Simba, kucheza bila mashabiki, faini mil. 100

Rungu la CAF latua Simba, kucheza bila mashabiki, faini mil. 100

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeipiga faini ya Sh milioni 100.6 Klabu ya Simba pamoja na kuagiza mechi moja kuchezwa bila mashabiki. Hatua hiyo imetokana na vurugu…

Continue ReadingRungu la CAF latua Simba, kucheza bila mashabiki, faini mil. 100
Read more about the article Maliasili, Mambo ya ndani zatakiwa kushirikiana kukuza utalii

Maliasili, Mambo ya ndani zatakiwa kushirikiana kukuza utalii

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imetakiwa kushirikiana kwa ukaribu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi  katika kukuza soko la utalii nchini na kurahisisha utoaji wa…

Continue ReadingMaliasili, Mambo ya ndani zatakiwa kushirikiana kukuza utalii
Read more about the article Rais Samia amlilia Mkuu wa Wilaya ya Mbozi

Rais Samia amlilia Mkuu wa Wilaya ya Mbozi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kupokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mkoa wa Sorngwe, Bi. Esther Alexander Mahawe kilichotokea leo tarehe 14 Januari, 2025…

Continue ReadingRais Samia amlilia Mkuu wa Wilaya ya Mbozi
Read more about the article Waziri Kabudi ataka waandishi wa habari kuwekeza katika teknolojia ya AI

Waziri Kabudi ataka waandishi wa habari kuwekeza katika teknolojia ya AI

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wahabari nchini kuwekeza kwenye teknolojia mpya ya Akili Mnemba au Akili Unde ‘Artificial Intelligence (AI)’ huku akisema teknolojia hiyo…

Continue ReadingWaziri Kabudi ataka waandishi wa habari kuwekeza katika teknolojia ya AI
Read more about the article DED Magu aagiza maofisa ugani kutumia pikipiki walizogawiwa kuhudumia wananchi

DED Magu aagiza maofisa ugani kutumia pikipiki walizogawiwa kuhudumia wananchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

KAIMU Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Mohamed Kyande amewataka maofisa ugani wa halmashauri hiyo kuhakikisha wanatumia kwa malengo yaliyokusudiwa pikipiki walizogawiwa na Serikali kwa ajili ya kuhudumia wananchi.…

Continue ReadingDED Magu aagiza maofisa ugani kutumia pikipiki walizogawiwa kuhudumia wananchi
Read more about the article Megawati 30 jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/2027

Megawati 30 jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/2027

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Abu Dhabi - UAE Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye rasilimali kubwa ya uwekezaji miradi ya jotoardhi  ambapo jumla ya megawati 30 zinatarajiwa kuingizwa kwenye gridi…

Continue ReadingMegawati 30 jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/2027
Read more about the article Viongozi wataka jamii kulinda rasilimali za mradi wa EACOP 

Viongozi wataka jamii kulinda rasilimali za mradi wa EACOP 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 13, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Arusha Viongozi wa jamii ya watu wanaoishi pembezoni mwa miji, maarufu kama watu wa asili wamezitaka jamii zao zinazoishi maeneo ambayo mkuza wa bomba la mafuta ghafi la…

Continue ReadingViongozi wataka jamii kulinda rasilimali za mradi wa EACOP 
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu