Rais Samia aunda tume kuchunguza zoezi la uhamaji Ngorongoro
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ataunda tume mbili ambapo moja itachunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro huku tume nyingine ikiangalia utekelezaji wa zoezi…
