Ummy Mwalimu: Wananchi jitokezeni mjiandikishe mchague viongozi bora
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu (CCM) ametoa rai kwa wananchi wa jimbo hilo kujitoleza kwa wingi katika zoezi la kitaifa la uboreshaji wa daftari la…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu (CCM) ametoa rai kwa wananchi wa jimbo hilo kujitoleza kwa wingi katika zoezi la kitaifa la uboreshaji wa daftari la…
Serikali ya Tanzania imesema haijaingia makubaliano na mwekezaji yeyote kwa sasa kwa ajili ya kujenga na kuendesha Bandari ya Bagamoyo. Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake kwa kuahidi kuendelea kuwekeza katika uvumbuzi wa kidijitali na kuongeza ubora wa huduma kwa wateja wake kwa kudhamiria kuimarisha…
Meneja wa Precision Air nchini Comoro, Mohamed Rajab Juma ameeleza kuwa safari za Shirika hilo nchini Comoro katika mji wa Moroni, zinashika nafasi ya pili kwa faida kati ya safari…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, ambao ni wauzaji na wasambazaji wa magari aina ya ISUZU nchini imezindua maonesho ya siku ya tatu ya magari…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameigazia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ihakikishe inatoa kandarasi za ujenzi na ukarabati wa barabara kwa wakandarasi wenye uwezo wa kujenga kwa viwango…
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu, imeanza kusikiliza shauri lililowasilishwa mahakamni hapo na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo dhidi ya Rwanda, kuhusu mgogoro wa kivita wa muda mrefu mashariki…
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza kuwa kumekuwa na ongezeko la joto katika baadhi ya maeneo nchini hususan yapatayo misimu miwili ya mvua kwa mwaka kwa miezi ya…
Dhamira ya Serikali ya kuwasaidia wachimbaji wadogo wa madini nchini kwa kuwawezesha kupata taarifa sahihi za miamba kupitia Mitambo ya Uchorongaji (drilling rigs) ili wachimbe kwa tija imetimia baada ya…
Jumla ya taasisi 551 zimeanza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa ikiwa ni katika jitihada za kuunga mkono Serikali kupunguza ukataji miti…