Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Dk. Mpango: Tafiti nyingi zinahitajika kuhusu ubora wa maji

Dk. Mpango: Tafiti nyingi zinahitajika kuhusu ubora wa maji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 30, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema tafiti zinahitajika zaidi katika menejimenti ya rasilimali maji ili kuwezesha maarifa mapya na uelewa mpana kuhusu upatikanaji…

Continue ReadingDk. Mpango: Tafiti nyingi zinahitajika kuhusu ubora wa maji
Read more about the article Maendeleo ujenzi wa barabara Wenda- Mgama wafikia asilimia 90

Maendeleo ujenzi wa barabara Wenda- Mgama wafikia asilimia 90

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 30, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Iringa Wananchi wa Kata ya Mgama, wilaya ya Iringa, wameeleza furaha yao kutokana na maendeleo makubwa ya ujenzi wa barabara ya Wenda-Mgama, ambayo kwa sasa imefikia asilimia…

Continue ReadingMaendeleo ujenzi wa barabara Wenda- Mgama wafikia asilimia 90
Read more about the article Tanzania, Comoro kushirikiana na sekta ya nishati

Tanzania, Comoro kushirikiana na sekta ya nishati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 30, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dkt. Doto Mashaka Biteko amekutana na Waziri wa Nishati wa Umoja wa Visiwa vya Comoros, Dkt Aboubacar Anli na kukubaliana maeneo kadhaa ya ushirikiano…

Continue ReadingTanzania, Comoro kushirikiana na sekta ya nishati
Read more about the article India, China zakubaliana kuanzisha tena safari za ndege

India, China zakubaliana kuanzisha tena safari za ndege

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 28, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga

India na China zimekubaliana kuanzisha tena safari za ndege za moja kwa moja za abiria kati ya nchi hizo mbili. Wizara ya Mambo ya Nje ya India imesema imefikia makubaliano…

Continue ReadingIndia, China zakubaliana kuanzisha tena safari za ndege
Read more about the article Biteko awapa pole Bukombe kufuatia ajali ya radi iliyoua saba

Biteko awapa pole Bukombe kufuatia ajali ya radi iliyoua saba

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

[1/27/25, 9:49:33 PM] Gabriel Mushi: Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa pole kwa wananchi wa Wilaya…

Continue ReadingBiteko awapa pole Bukombe kufuatia ajali ya radi iliyoua saba
Read more about the article Dk. Biteko: Mkutano wa nishati Afrika (M300) kuchochea maendeleo ya Afrika

Dk. Biteko: Mkutano wa nishati Afrika (M300) kuchochea maendeleo ya Afrika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika - Misheni 300 ni kichocheo cha maendeleo ya nchi za…

Continue ReadingDk. Biteko: Mkutano wa nishati Afrika (M300) kuchochea maendeleo ya Afrika
Read more about the article Barabara kuu Mwanza Mjini-Usagara kujengwa njia nne

Barabara kuu Mwanza Mjini-Usagara kujengwa njia nne

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 27, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inachukua hatua za haraka kushughulikia msongamano wa magari kwenye Barabara Kuu kutoka Mwanza Mjini hadi Usagara kwa kuijenga kwa…

Continue ReadingBarabara kuu Mwanza Mjini-Usagara kujengwa njia nne
Read more about the article Serikali yaipongeza NMB kwa Bil. 100/- za kukopesha wasambazaji nishati safi

Serikali yaipongeza NMB kwa Bil. 100/- za kukopesha wasambazaji nishati safi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA MWANDISHI WETU SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB kwa kuzindua Mfuko Maalum uliotengewa Sh. Bilioni 100 za kukopesha wasambazaji na wauzaji wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Watanzania, na kwamba…

Continue ReadingSerikali yaipongeza NMB kwa Bil. 100/- za kukopesha wasambazaji nishati safi
Read more about the article NCAA yazindua kampeni kuhamasisha utalii mapango Amboni

NCAA yazindua kampeni kuhamasisha utalii mapango Amboni

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 26, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imezindua Kampeni ya kuhamasisha utalii wa ndani katika mapango ya amboni Tanga kuelekea sikukuu ya wapendanao inayoadhimishwa  kila mwaka…

Continue ReadingNCAA yazindua kampeni kuhamasisha utalii mapango Amboni
Read more about the article Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi vituo vipya vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)

Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi vituo vipya vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 26, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imepongezwa kwa ujenzi wa mradi wa Kituo mama cha gesi iliyoshindiliwa yaani Compressed Natural Gas (CNG)  na Vituo vidogo viwili vya kupokea…

Continue ReadingKamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi vituo vipya vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu