Mazishi kitaifa ya Rais Jimmy Carter Januari 9
Mazishi ya kitaifa ya Jimmy Carter, rais wa zamani wa Marekani aliyefariki Jumapili akiwa na umri wa miaka 100, yatafanyika katika Kanisa Kuu la Katoliki mjini Washington mnamo Januari 9,…
Mazishi ya kitaifa ya Jimmy Carter, rais wa zamani wa Marekani aliyefariki Jumapili akiwa na umri wa miaka 100, yatafanyika katika Kanisa Kuu la Katoliki mjini Washington mnamo Januari 9,…
Mbunge wa Magu, Boniventura Kiswaga (CCM) amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutekeleza malengo ya bajeti inayotengwa kila mwaka kutokana na upatikanaji wa fedha kwenye miradi ya maendeleo kama…
OPARESHENI maalumu iliyofanywa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama imefanikisha kukamatwa magunia ya kufungia tumbaku maarufu kama majafafa yenye thamani…
Jamshid bin Abdullah, Sultani wa mwisho kuitawala Zanzibar na aliyeondolewa madarakani kwa mapinduzi ya tarehe 12 Januari mwaka 1964 amefariki dunia. Jamshid amefariki dunia katika hospitalini iliyopo nchini Oman jioni…
BENKI ya NMB, imetangaza udhamini wa Sh. Milioni 50 wa michuano ya Kombe la Mapinduzi ya Zanzibar (Mapinduzi Cup 2025), inayotarajia kuanza Januari 03, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani visiwani…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAKATI hali ya ukimya ikiendelea kutanda katika kashfa maarufu ya Tegeta Escrow, kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeingia katika…
Ndege iliyokuwa imebeba abiria 181 imeanguka katika uwanja wa ndege kusini magharibi mwa Korea Kusini. Ajali hiyo ilitokea saa sita usiku wa kuamkia leo Jumapili muda mfupi wakati ilipokuwa ikitua…
NA MWANDISHI WETU WATEJA zaidi ya 700 kati ya 2000 wa msimu wa sita wa promosheni ya kuhamasisha malipo na manunuzi kwa njia ya kadi inayoendeshwa na Benki ya NMB…
Mamlaka ya Anga nchini Kazakhstan imesema watu 38 wamefariki dunia katika ajali ya ndege ya abiria ya kampuni ya Azerbaijan Airlines magharibi mwa nchi hiyo jana Jumatano. Maafisa wa Wizara…
Katika kusherehekea SIkukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025, Watanzania hatuna budi kujivunia safari ya mafanikio katika Sekta ya Nishati, hususan umeme. Je Unajua kabla ya kupata Uhuru mwaka 1961…