Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Wananchi Kiteto waishukuru Serikali ujenzi wa miundombinu ya barabara

Wananchi Kiteto waishukuru Serikali ujenzi wa miundombinu ya barabara

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 7, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

WANANCHI wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja ambao utasaidia kufungua uchumi wa wilaya hiyo. Wakizungumza wakati wa…

Continue ReadingWananchi Kiteto waishukuru Serikali ujenzi wa miundombinu ya barabara
Read more about the article Kundo aongoza kikao kazi na watumishi sekta ya maji Pwani

Kundo aongoza kikao kazi na watumishi sekta ya maji Pwani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Pwani Naibu Waziri wa Maji, Kundo Andrea Mathew ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili katika Mkoa wa Pwani yenye lengo la kuangalia njia bora za kuboresha…

Continue ReadingKundo aongoza kikao kazi na watumishi sekta ya maji Pwani
Read more about the article Taasisi zilizosajiliwa RITA zatakiwa kuwasilisha marejesho ya  mwaka

Taasisi zilizosajiliwa RITA zatakiwa kuwasilisha marejesho ya  mwaka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imeziagiza Bodi za Wadhamini wa Taasisi kuhakikisha zinatimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria ikiwemo kuwakilisha marejesho ya kila…

Continue ReadingTaasisi zilizosajiliwa RITA zatakiwa kuwasilisha marejesho ya  mwaka
Read more about the article SEQUIP kuwanoa walimu 40,000 wa masomo ya sayansi, hisabati

SEQUIP kuwanoa walimu 40,000 wa masomo ya sayansi, hisabati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Kagera Serikali kupitia Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) imeendelea kutoa mafunzo kwa walimu wa sekondari wanaofundisha masomo ya sayansi na hisabati 40,000 ili kuwapatia mbinu,…

Continue ReadingSEQUIP kuwanoa walimu 40,000 wa masomo ya sayansi, hisabati
Read more about the article Wakandarasi waomba siku 90 ujenzi ofisi ya waziri mkuu, nishati

Wakandarasi waomba siku 90 ujenzi ofisi ya waziri mkuu, nishati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya ziara katika Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma kukagua maendeleo ya ujenzi majengo ya…

Continue ReadingWakandarasi waomba siku 90 ujenzi ofisi ya waziri mkuu, nishati
Read more about the article Uunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 99.9

Uunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 99.9

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati ya vijiji 12,318 ambayo ni sawa na asilimia…

Continue ReadingUunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 99.9
Read more about the article Kombo: Maono ya Samia ni wananchi wasitibiwe nje

Kombo: Maono ya Samia ni wananchi wasitibiwe nje

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema, dhamira njema ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuipa kipaumbele Sekta ya Afya nchini…

Continue ReadingKombo: Maono ya Samia ni wananchi wasitibiwe nje
Read more about the article Waziri Ulega atoa saa 72 kurejesha daraja Gonja – Same

Waziri Ulega atoa saa 72 kurejesha daraja Gonja – Same

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega ametoa saa 72 kwa Wakala ya Barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Kilimanjaro kurejesha mawasiliano katika daraja la Gonja Mpirani. Hatua hiyo inafuatia kuvunjika kwa daraja…

Continue ReadingWaziri Ulega atoa saa 72 kurejesha daraja Gonja – Same
Read more about the article REA, TAIFA GAS kusambaza majiko ya gesi  16,275 kwa nusu bei

REA, TAIFA GAS kusambaza majiko ya gesi  16,275 kwa nusu bei

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma Kampuni ya Taifa Gas Limited kwa ajili ya kutekeleza mradi wa shilingi milioni 317.3 wa kusambaza majiko ya gesi 16,275…

Continue ReadingREA, TAIFA GAS kusambaza majiko ya gesi  16,275 kwa nusu bei
Read more about the article Ghana yazindua visa ya bila malipo kwa Waafrika wote

Ghana yazindua visa ya bila malipo kwa Waafrika wote

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amesema wamiliki wote wa pasipoti wa Kiafrika sasa wanaweza kuzuru Ghana bila kuhitaji visa. Rais huyo anayemaliza muda wake alitangaza mpango huo mwezi uliopita lakini…

Continue ReadingGhana yazindua visa ya bila malipo kwa Waafrika wote
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu