Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Waziri Kabudi ataka waandishi wa habari kuwekeza katika teknolojia ya AI

Waziri Kabudi ataka waandishi wa habari kuwekeza katika teknolojia ya AI

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wahabari nchini kuwekeza kwenye teknolojia mpya ya Akili Mnemba au Akili Unde ‘Artificial Intelligence (AI)’ huku akisema teknolojia hiyo…

Continue ReadingWaziri Kabudi ataka waandishi wa habari kuwekeza katika teknolojia ya AI
Read more about the article DED Magu aagiza maofisa ugani kutumia pikipiki walizogawiwa kuhudumia wananchi

DED Magu aagiza maofisa ugani kutumia pikipiki walizogawiwa kuhudumia wananchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

KAIMU Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Mohamed Kyande amewataka maofisa ugani wa halmashauri hiyo kuhakikisha wanatumia kwa malengo yaliyokusudiwa pikipiki walizogawiwa na Serikali kwa ajili ya kuhudumia wananchi.…

Continue ReadingDED Magu aagiza maofisa ugani kutumia pikipiki walizogawiwa kuhudumia wananchi
Read more about the article Megawati 30 jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/2027

Megawati 30 jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/2027

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Abu Dhabi - UAE Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye rasilimali kubwa ya uwekezaji miradi ya jotoardhi  ambapo jumla ya megawati 30 zinatarajiwa kuingizwa kwenye gridi…

Continue ReadingMegawati 30 jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/2027
Read more about the article Viongozi wataka jamii kulinda rasilimali za mradi wa EACOP 

Viongozi wataka jamii kulinda rasilimali za mradi wa EACOP 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 13, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Arusha Viongozi wa jamii ya watu wanaoishi pembezoni mwa miji, maarufu kama watu wa asili wamezitaka jamii zao zinazoishi maeneo ambayo mkuza wa bomba la mafuta ghafi la…

Continue ReadingViongozi wataka jamii kulinda rasilimali za mradi wa EACOP 
Read more about the article MwanaFA ashuhudia mkataba mpya utakaowajaza mamilioni wasanii wa Tz

MwanaFA ashuhudia mkataba mpya utakaowajaza mamilioni wasanii wa Tz

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 13, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ ameongoza hafla ya kusaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) kati ya Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) na Mamlaka…

Continue ReadingMwanaFA ashuhudia mkataba mpya utakaowajaza mamilioni wasanii wa Tz
Read more about the article DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana upatikanaji wa maji

DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana upatikanaji wa maji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imesema inaendelea na mchakato wa manunuzi ya pampu zitakazosaidia kuongeza ufanisi katika mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu ambao husambaza…

Continue ReadingDAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana upatikanaji wa maji
Read more about the article Serikali itaendelea kuboresha huduma za uhamiaji- Biteko

Serikali itaendelea kuboresha huduma za uhamiaji- Biteko

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita imekusudia kuendelea kuboresha huduma mbalimbali za kiuchumi na kijamii zikiwemo huduma za…

Continue ReadingSerikali itaendelea kuboresha huduma za uhamiaji- Biteko
Read more about the article Makamu wa Rais Z’bar azindua Tawi la NMB Wete, apokea vifaa tiba vya Mil. 12

Makamu wa Rais Z’bar azindua Tawi la NMB Wete, apokea vifaa tiba vya Mil. 12

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandinshi Wetu, Pemba MAKAMU wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Hemedi Suleiman Abdulla, amezindua Tawi la NMB Wete, lililopo Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba,…

Continue ReadingMakamu wa Rais Z’bar azindua Tawi la NMB Wete, apokea vifaa tiba vya Mil. 12
Read more about the article Mwinjuma ataka vigezo kuingia kwenye ngumi za kulipwa

Mwinjuma ataka vigezo kuingia kwenye ngumi za kulipwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 11, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma ametoa maagizo kwa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) kuweka vigezo vya mabondia kuingia kwenye ngumi za kulipwa. Maagizo hayo…

Continue ReadingMwinjuma ataka vigezo kuingia kwenye ngumi za kulipwa
Read more about the article Waziri Kombo aagana na Balozi wa Algeria

Waziri Kombo aagana na Balozi wa Algeria

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Balozi wa Algeria nchini, Ahmed Djellal aliyefika katika ofisi za Wizara Dar es Salaam kutoa…

Continue ReadingWaziri Kombo aagana na Balozi wa Algeria
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu