Kamati ya fedha yaridhishwa na utekelezaji wa miradi ya halmashauri Magu
Kamati ya fedha, uongozi na mipango katika halmashauri ya wilaya ya Magu imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani humo. Hayo yamebainishwa katika ziara ya kamati hiyo…
