Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Barabara kuu Mwanza Mjini-Usagara kujengwa njia nne

Barabara kuu Mwanza Mjini-Usagara kujengwa njia nne

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 27, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inachukua hatua za haraka kushughulikia msongamano wa magari kwenye Barabara Kuu kutoka Mwanza Mjini hadi Usagara kwa kuijenga kwa…

Continue ReadingBarabara kuu Mwanza Mjini-Usagara kujengwa njia nne
Read more about the article Serikali yaipongeza NMB kwa Bil. 100/- za kukopesha wasambazaji nishati safi

Serikali yaipongeza NMB kwa Bil. 100/- za kukopesha wasambazaji nishati safi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA MWANDISHI WETU SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB kwa kuzindua Mfuko Maalum uliotengewa Sh. Bilioni 100 za kukopesha wasambazaji na wauzaji wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Watanzania, na kwamba…

Continue ReadingSerikali yaipongeza NMB kwa Bil. 100/- za kukopesha wasambazaji nishati safi
Read more about the article NCAA yazindua kampeni kuhamasisha utalii mapango Amboni

NCAA yazindua kampeni kuhamasisha utalii mapango Amboni

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 26, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imezindua Kampeni ya kuhamasisha utalii wa ndani katika mapango ya amboni Tanga kuelekea sikukuu ya wapendanao inayoadhimishwa  kila mwaka…

Continue ReadingNCAA yazindua kampeni kuhamasisha utalii mapango Amboni
Read more about the article Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi vituo vipya vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)

Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi vituo vipya vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 26, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imepongezwa kwa ujenzi wa mradi wa Kituo mama cha gesi iliyoshindiliwa yaani Compressed Natural Gas (CNG)  na Vituo vidogo viwili vya kupokea…

Continue ReadingKamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi vituo vipya vya kujaza gesi kwenye magari (CNG)
Read more about the article NEMC yaipongeza EACOP kwa kuhifadhi ikolojia ya Mto Sigi

NEMC yaipongeza EACOP kwa kuhifadhi ikolojia ya Mto Sigi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 26, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Tanga Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Usimamizi la Mazingira la Taifa (NEMC) imeupongeza uongozi wa kampuni ya Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa…

Continue ReadingNEMC yaipongeza EACOP kwa kuhifadhi ikolojia ya Mto Sigi
Read more about the article Silaa: Tutaimarisha uchumi wa kidijitali kukuza biashara mtandao

Silaa: Tutaimarisha uchumi wa kidijitali kukuza biashara mtandao

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 25, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry William Silaa amesema kupitia mfumo wa usafirishaji wa vifurushi, mizigo, na abiria Serikali itaimarisha uchumi wa kidijitali, kukuza baishara mtandao na kuleta…

Continue ReadingSilaa: Tutaimarisha uchumi wa kidijitali kukuza biashara mtandao
Read more about the article Tanzania, Korea zajadiliana kuendeleza madini mkakati

Tanzania, Korea zajadiliana kuendeleza madini mkakati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema ipo tayari kushirikiana na Jamhuri ya Korea katika kutekeleza mkakati wake wa kuendeleza madini mkakati na…

Continue ReadingTanzania, Korea zajadiliana kuendeleza madini mkakati
Read more about the article Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 

Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Kuelekea mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika, Tanzania imeweka historia kwa kuwaunganishia umeme wananchi kwa asilimia 78.4 ambapo kwa vijijini uunganishaji umefikia asilimia 100 na kwenye vitongoji…

Continue ReadingWatanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 
Read more about the article NMB yaibuka mlipa kodi mkubwa zaidi tuzo za TRA

NMB yaibuka mlipa kodi mkubwa zaidi tuzo za TRA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katika kuendelea kuwa mshirika mkubwa wa maendeleo nchini, Benki ya NMB imetunukiwa tuzo tatu na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ikiwa ni sehemu ya…

Continue ReadingNMB yaibuka mlipa kodi mkubwa zaidi tuzo za TRA
Read more about the article Samia atengua, ateua wakuu wa wilaya, wakurugenzi

Samia atengua, ateua wakuu wa wilaya, wakurugenzi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa amefanya uteuzi, uhamisho na mabadiliko ya viongozi mbalimbali.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka miongoni mwa walioteuliwa…

Continue ReadingSamia atengua, ateua wakuu wa wilaya, wakurugenzi
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu