Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Rais Samia amuagiza kamishna TRA kusimamia usawa katika kulipa kodi

Rais Samia amuagiza kamishna TRA kusimamia usawa katika kulipa kodi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtaka Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Yusuph Mwenda kusimamia usawa katika kulipa kodi. Rais Dkt. Samia…

Continue ReadingRais Samia amuagiza kamishna TRA kusimamia usawa katika kulipa kodi
Read more about the article Ufaulu kidato cha nne wapanda, wavulana wapindua meza

Ufaulu kidato cha nne wapanda, wavulana wapindua meza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 23, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2024, ambapo watahiniwa 477,262 kati ya wanafunzi 516,695 wenye matokeo wamefaulu kwa kupata madaraja ya I,…

Continue ReadingUfaulu kidato cha nne wapanda, wavulana wapindua meza
Read more about the article DCC Magu yapitia na kujadili rasimu ya bajeti kwa mwaka 2025/2026

DCC Magu yapitia na kujadili rasimu ya bajeti kwa mwaka 2025/2026

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 23, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

KAMATI ya Ushauri ya Wilaya ya Magu (DCC) imepitia na kujadili mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti ya halmashauri kwa mwaka 2025/2026 ambayo imependekeza kuidhinishwa jumla ya Sh. 64.2…

Continue ReadingDCC Magu yapitia na kujadili rasimu ya bajeti kwa mwaka 2025/2026
Read more about the article DC Nassari atoa siku 4 wanafunzi wote kidato cha kwanza kuripoti shule

DC Nassari atoa siku 4 wanafunzi wote kidato cha kwanza kuripoti shule

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 23, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

MKUU wa Wilaya ya Magu, Joshua Nassari ametoa muda wa siku nne kwa watendaji wa kata na waratibu wa elimu kata kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza, wanaripoti…

Continue ReadingDC Nassari atoa siku 4 wanafunzi wote kidato cha kwanza kuripoti shule
Read more about the article Serikali yahamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini

Serikali yahamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 23, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Serikali kupitia Wizara ya Fedha, imebainisha kuwa itaendelea na utoaji wa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini ili kuwawezesha wananchi katika maeneo ya vijijini kuwa…

Continue ReadingSerikali yahamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini
Read more about the article Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi

Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 22, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) inaendelea na utekelezaji wa mradi wa maji Mpiji Magoe katika kata ya Mbezi Wilayani Ubungo wenye lengo la kutatua…

Continue ReadingWakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Read more about the article Posho za wajumbe, ukumbi vyadaiwa mtihani wa kwanza kwa uongozi Lissu

Posho za wajumbe, ukumbi vyadaiwa mtihani wa kwanza kwa uongozi Lissu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 22, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

SIKU moja baada ya Tundu Lissu kushinda nafasi ya Uenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakili huyo amedaiwa kushindwa kulipa gharama za Ukumbi wa Mlimani City walipokuwa wakifanya…

Continue ReadingPosho za wajumbe, ukumbi vyadaiwa mtihani wa kwanza kwa uongozi Lissu
Read more about the article DIASPORA kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa

DIASPORA kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 22, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Czech wameahidi kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa zinazopatikana katika nchi hiyo kwa manufaa ya nchi na wananchi. Ahadi hiyo wameitoa Januari 18, 2025 walipofanya kikao na…

Continue ReadingDIASPORA kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa
Read more about the article Wananchi Karatu wapewa darasa kuhusu wakopeshaji wasiosajiliwa

Wananchi Karatu wapewa darasa kuhusu wakopeshaji wasiosajiliwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 22, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wananchi wa Wilaya ya Karatu jijini Arusha, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanatumia Taasisi za fedha zilizosajiliwa ambazo zinazingatia sheria, kanuni na taratibu katika huduma za fedha ili kujiepesha na watoa huduma…

Continue ReadingWananchi Karatu wapewa darasa kuhusu wakopeshaji wasiosajiliwa
Read more about the article Lissu ambwaga Mbowe uenyekiti Chadema

Lissu ambwaga Mbowe uenyekiti Chadema

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 22, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

KADA machachari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameibuka mshindi katika nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho katika uchaguzi uliofanyika kuanzia jana hadi leo asubuhi kwenye ukumbi…

Continue ReadingLissu ambwaga Mbowe uenyekiti Chadema
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu