Rais Samia amuagiza kamishna TRA kusimamia usawa katika kulipa kodi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtaka Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Yusuph Mwenda kusimamia usawa katika kulipa kodi. Rais Dkt. Samia…
