Besigye akimbizwa hospitalini
Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye ambaye alianza mgomo wa kula wiki iliyopita amekimbizwa hospitali jana jioni baada ya hali ya afya kuzorota. Hayo yameelezwa na mbunge mmoja mwenye…
Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye ambaye alianza mgomo wa kula wiki iliyopita amekimbizwa hospitali jana jioni baada ya hali ya afya kuzorota. Hayo yameelezwa na mbunge mmoja mwenye…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amepiga marufuku raia wa kigeni kuingia na kufanya shughuli kwenye leseni za uchimbaji mdogo; hii ni kufuatia changamoto zilizobainika katika uingiaji…
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amelazwa hospitali kwa siku ya nne mfululizo katika kile viongozi mjini Vatican wamesema anapatiwa matibabu ya maambukizi kwenye njia ya hewa lakini anaendelea…
Nyota wa muziki, raia wa Colombia Shakira jana Jumapili amelazimika kusitisha show yake huko Lima, Peru, na baadaye kupelekwa hospitalini kutokana na maumivu ya tumbo. Shakira kupitia taarifa kwenye akaunti…
Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda walifika katikati mwa jiji la pili kwa ukubwa mashariki mwa DRC, Bukavu, jana Jumapili asubuhi na kuchukua udhibiti wa ofisi ya utawala wa jimbo la…
Serikali ya Uganda imesema itaiondoa kesi dhidi ya mpinzani mkongwe Kizza Besigye katika mahakama ya kijeshi, na kumtaka asitishe mgomo wa kula gerezani. Ahadi hiyo imetupiliwa mbali na mke wa…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusikiliza kilio cha wananchi kuhusu wanyama wakali…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kuiombea nchi pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan ili aendelee kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi.…
Makamu Dk. Philip Mpango na mwenza wake Mama Mbonimapaye Mpango wameifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Johnson Nkondo aliyekuwa Msaidizi wa Ofisi Mkuu - Ofisi ya Makamu wa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa magari ya ISUZU,…