Waziri Ulega akagua vivuko vipya Kigamboni Dar
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekagua vivuko viwili kati ya sita (6) vilivyowasili katika eneo la Magogoni kwa ajili ya kutoa huduma ya usafiri eneo la Kigamboni na Magogoni na kuagiza…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekagua vivuko viwili kati ya sita (6) vilivyowasili katika eneo la Magogoni kwa ajili ya kutoa huduma ya usafiri eneo la Kigamboni na Magogoni na kuagiza…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara wa Czech kuangalia fursa za uwekezaji nchini Tanzania katika sekta za utalii, uchukuzi, afya,…
Wizara ya Madini imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 521 katika kipindi cha Julai 1, 2024, hadi Desemba 31, 2024. Hii ni sawa na asilimia 52.2 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni…
Vyuo na taasisi zinazotoa elimu ngazi ya Kati ikiwemo Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), zimetakiwa kuboresha mitaala yake ya masomo ili iendane na mahitaji ya sasa ya soko la…
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limeipatia Tanzania shilingi bilioni 7.56, ili kudhiti na kukabiliana na ugonjwa wa Marburg nchini. Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk. Tedros Adhanom Ghebreyesus,…
RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuapishwa leo Januari 20, 2025 kuwa rais wa 47 wa taifa hilo kubwa duniani ambapo uapisho huo utafanyika ndani ya jengo la Bunge…
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewateua wakurugenzi, manaibu wakurugenzi, katibu na naibu katibu wa kamati ya itifaki na udhibiti baada ya kushauriana na makamu wenyeviti. Taarifa…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi ameondowa uwezekano wa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na kundi la M23, akisema kwamba hatua hiyo italipa uhalali kundi hilo.…
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh bilioni 71.5 sawa na asilimia 104 katika kipindi cha miezi sita cha mwaka mpya wa fedha 2024/25 kutoka eneo la kimkakati la mkoa…
Katika kuunga mkono kampeni ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ya kuhamasisha wananchi kuunganisha umeme kwenye nyumba zao, Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Naitapwaki Tukai amewalipia gharama za kuunganisha umeme…