Upotevu wa maji wasababisha hasara ya shilingi bilioni 114.12
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji kwa mwaka 2023/24 na kuzitaka kupunguza kiwango cha upotevu maji ili kuepusha…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji kwa mwaka 2023/24 na kuzitaka kupunguza kiwango cha upotevu maji ili kuepusha…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambao umechochea uboreshaji wa…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewasilisha Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo amewataka watendaji na watumishi wa Wizara ya Madini kuzingatia uadilifu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku…
Na Mwandishi wetu, London Baada ya kukamilika kwa kampeni ya kuitangaza Tanzania kupita msafara wa utangazaji utalii ya "My Tanzania Roadshow 2025" katika nchi za Ujerumani, Ubelgiji, Uholanzi na Uingereza,…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani itakayoenda sambamba na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa itakayofanyika Machi 21, 2025…
Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB imeshiriki na kudhamini Jukwaa la Kujadili Masuala ya Maji lililofanyika jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea…
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria Dk Damas Ndumbaro ameziagiza Bodi mbalimbali za Wadhamini wa taasisi ambazo zimemaliza muda wake wa uongozi kufanya uchaguzi mara moja…
Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuelekea Dira ya Tanzania 2025 ambayo inasisitiza…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki (BVR) kutekeleza majukumu yao vituoni kwa kufuata sharia, Kanuni…