Wakulima wajipatia bilioni 347 kutoka NFRA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakulima wa Tanzania wanaozalisha mazao ya chakula na kuyauza kwa Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA) wamelipwa bilioni 347 katika miezi minane iliyopita kuanzia mwezi…
