Dk. Mpango ataja maeneo muhimu ya ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Philip Mpango amesema Tanzania inathamini ushirikiano uliopo na Taifa la Marekani ambao umetoa mchango katika maendeleo ya sekta mbalimbali. Makamu wa…
