Bukoba wamuangukia Biteko ujenzi wa uwanja wa ndege
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa kwa maandalizi mazuri ya Kongamano la Uwekezaji mkoani humo litakaloibua fursa…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa kwa maandalizi mazuri ya Kongamano la Uwekezaji mkoani humo litakaloibua fursa…
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amesisitiza kuanza kwa wakati kwa Mradi wa Uchimbaji Madini ya graphite (kinywe) na kwa mujibu wa Matakwa ya Sheria ya Madini alipokutana na…
Na Mwandishi Wetu, Saudi Arabia Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini Saudi Arabia litaongeza uwekezaji kwenye Sekta ya Nishati kutokana na Tanzania kuzinadi fursa…
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited, David Mulokozi amenunua ndege binafsi aina ya Helkopta ambayo ameitumia kutua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Stadium uliopo…
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaendelea kutekeleza Mradi wa usambazaji wa mitungi ya gesi ya kilo 6 kwa bei ya ruzuku, ambapo inatarajia kugawa mitungi 26,040 katika mkoa wa Tanga,…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Innocwent Bashungwa ameeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa kituo cha uchakataji taarifa za utambulisho wa Taifa cha…
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imefanikiwa kuzuia upotevu wa fedha za serikali takribani TZS: 583,591,615,609.00 katika mshauri 162 yaliyokuwa katika hatua mbalimbali za michakato ya ununuzi wa…
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhani nchini (RITA), umeitaka Bodi mpya ya Wadhamini wa Msikiti wa Ijumaa jijini Mwanza, kujiepusha na ubadhirifu wa mali za msikiti…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa pamoja na jitihada za kuwainua wabunifu wawekezaji nchini, bado kuna umuhimu mkubwa wa kuwawezesha wabunifu wetu kukua…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palanagamba Kabudi ameeleza kusikitishwa na vitendo vya mashabiki kung'oa na kuharibu viti vya kukalia watazamaji katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jjini Dar…