TANROAD: Miradi 25 ya trilioni 1.6 imekamilika kipindi cha Samia
IMEELEZWA kuwa Serikali kupitia Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) imekamilisha kwa asilimia 100 miradi 25 ya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilometa 1,198 iliyogharimu Sh trilioni 1.68 katika kipindi…
