Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article TANROAD: Miradi 25 ya trilioni 1.6 imekamilika kipindi cha Samia

TANROAD: Miradi 25 ya trilioni 1.6 imekamilika kipindi cha Samia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 30, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

IMEELEZWA kuwa Serikali kupitia Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) imekamilisha kwa asilimia 100 miradi 25 ya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilometa 1,198 iliyogharimu Sh trilioni 1.68 katika kipindi…

Continue ReadingTANROAD: Miradi 25 ya trilioni 1.6 imekamilika kipindi cha Samia
Read more about the article Mradi wa bil. 60 kuleta mapinduzi ya huduma za usafiri Ziwa Victoria
Bandari ya Kemondo

Mradi wa bil. 60 kuleta mapinduzi ya huduma za usafiri Ziwa Victoria

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Mwanza IMEELEZWA kuwa Serikali imewekeza Sh60 bilioni kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria ili kurahusisha huduma za usafiri katika ukanda huo pamoja na kukuza uchumi wa…

Continue ReadingMradi wa bil. 60 kuleta mapinduzi ya huduma za usafiri Ziwa Victoria
Read more about the article Bashungwa aagiza vigogo ujenzi kupiga kambi Mafia hadi huduma ya kivuko itakaporejea

Bashungwa aagiza vigogo ujenzi kupiga kambi Mafia hadi huduma ya kivuko itakaporejea

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini

 Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour pamoja na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kufika…

Continue ReadingBashungwa aagiza vigogo ujenzi kupiga kambi Mafia hadi huduma ya kivuko itakaporejea
Read more about the article Rais Samia kutua Marekani kujadili changamoto za chakula

Rais Samia kutua Marekani kujadili changamoto za chakula

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hasan anatarajia kuondoka nchini leo tarehe 29 Oktoba, 2024 kuelekea Des Moines, lowa, nchini Marekani kuhudhuria Mjadala wa Kimataifa wa Norman E. Borlaug ulioandaliwa na Taasisi ya…

Continue ReadingRais Samia kutua Marekani kujadili changamoto za chakula
Read more about the article Haya hapa matokeo ya mtihani wa darasa la saba (PSLE) 2024

Haya hapa matokeo ya mtihani wa darasa la saba (PSLE) 2024

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) leo tarehe 29 Oktoba, 2024 limetangaza matokeo ya mitihani ya darasa la saba ambayo yanaonesha kuwa jumla ya watahiniwa 974,229 sawa na 80.87%, watahiniwa wenye…

Continue ReadingHaya hapa matokeo ya mtihani wa darasa la saba (PSLE) 2024
Read more about the article Morocco kuagiza treni za mwendo kasi kutoka Ufaransa

Morocco kuagiza treni za mwendo kasi kutoka Ufaransa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

SERIKALI ya Morocco imekubali kununua treni za mwendo kasi kutoka kwa kampuni ya Ufaransa ya Alstom, ukiwa moja ya mikataba iliotiwa saini wakati wa ziara ya Rais Emmanuel Macron, kwenye…

Continue ReadingMorocco kuagiza treni za mwendo kasi kutoka Ufaransa
Read more about the article Air Tanzania yarejesha safari za Afrika Kusini

Air Tanzania yarejesha safari za Afrika Kusini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga

Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limepanga kuanzisha tena safari za moja kwa moja kuelekea Jonannesburg nchini Afrika Kusini. Kulingana na ATCL, safari hizo ambazo zitakuwa mara tano kwa wiki,…

Continue ReadingAir Tanzania yarejesha safari za Afrika Kusini
Read more about the article Rodri ashinda Ballon d’Or

Rodri ashinda Ballon d’Or

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2024
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Kiungo wa kati wa Uhispania na Manchester City, Rodrigo Hernández Cascante ‘Rodri’ ameshinda tuzo ya Ballon d'Or ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2024, akiwashinda Mbrazil Vinicius Jr na…

Continue ReadingRodri ashinda Ballon d’Or
Read more about the article Miaka 3 TARURA Katavi bajeti yapaa kufikia bil. 15

Miaka 3 TARURA Katavi bajeti yapaa kufikia bil. 15

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 28, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Katavi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kwa kujenga barabara, vivuko na madaraja katika maeneo mbalimbali mkoani Katavi…

Continue ReadingMiaka 3 TARURA Katavi bajeti yapaa kufikia bil. 15
Read more about the article NMB yajizatiti kuwezesha kampuni za Korea Kusini zinazotekeleza miradi nchini

NMB yajizatiti kuwezesha kampuni za Korea Kusini zinazotekeleza miradi nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 28, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB Plc imesisitiza kuendelea kutekeleza dhamira yake ya kuyawezesha makampuni kutoka Korea Kusini yenye nia ya kuwekeza hapa nchini, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake…

Continue ReadingNMB yajizatiti kuwezesha kampuni za Korea Kusini zinazotekeleza miradi nchini
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu