Makamu wa Rais Z’bar akabidhi mkopo wa mil. 75 kwa wajasiriamali
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah amekabidhi hundi yenye thamani ya Sh Milioni 75 iliyotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikiwa ni…
