Ujenzi daraja la Jangwani waiva, Bashungwa ashuhudia utiaji saini
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa leo tarehe 22 Oktoba 2024 ameshuhudia utiaji saini, ujenzi wa daraja la Jangwani lenye urefu wa mita 390 litakalounganisha kipande cha Magomeni Wilaya ya Kinondoni…
