Samia: Historia ya Mwalimu Nyerere haiwezo kutofautishwa na Mwenge wa Uhuru
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa maono na fikra za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zinaendelea kuishi, na Taifa la Tanzania linaendelea kujivunia amani, mshikamano na umoja.…
