NMB yanyakua tuzo zaidi ya 30 za ubora na umahiri mwaka 2024
Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB imedhihirisha tena ukubwa wake nchini, baada ya mwaka huu kuweka rekodi kwa kutwaa zaidi ya tuzo 30 zinazotambua ubora wa huduma zake, ubunifu, ufanisi…
Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB imedhihirisha tena ukubwa wake nchini, baada ya mwaka huu kuweka rekodi kwa kutwaa zaidi ya tuzo 30 zinazotambua ubora wa huduma zake, ubunifu, ufanisi…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Watu wa jamii zinazoishi pembezoni mwa miji wanaojulikana kama watu wa asili wameupongeza mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuendelea kuheshimu…
Na Mwandishi Wetu, Manyara Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Hanang imefanikiwa kurejesha miundombinu ya barabara iliyoathiriwa na mafuriko ya tope, magogo na mawe mwishoni mwa…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewaasa wahasibu barani Afrika kuisimamia taaluma yao kikamilifu kwa sababu Afrika inawategemea kunufaika na utajiri wake.…
Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso amewasili Seoul nchini Korea Kusini kwa mualiko maalumu wa Benki ya Exim ya Korea na mfuko wa mashirikiano ya kiuchumi wa Korea (EDCF) ambapo…
MKUU wa wilaya ya Magu, Joshua Nassari amegawa baiskeli 67 kwa wakulima viongozi wa zao la pamba kutoka tarafa za Kahangara na Itumbili wilayani humo ili kuwarahisisha usafiri wa kufika…
BEI ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa imeendelea kushuka baada ya bei za mafuta yanayoingia nchini kupitia bandari mbalimbali kutangazwa kushuka kuanzia leo Jumatano, Desemba 4, 2024.…
HATIMAYE Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa nane wanaodaiwa kutaka kumteka Deogratius Tarimo, mkazi wa Kiluvya jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo imekuja ikiwa zimepita…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Hazara Chana amewataka Maafisa Wanyamapori wote nchini kuchukua hatua madhubuti ya kulinda na kuhifadhi wanyapori ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati ya…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Serikali imeahidi kufikisha umeme katika Shule ya Msingi ya Lucas Mhina ili wanafunzi na wanakijiji wapate nishati ya umeme itakayowawezesha kuendelea na shughuli za kiuchumi na…