Mastaa kibao albamu mpya ya Eric Bellinger
NA JOSEPH SHALUWA ALBAMU mpya ya staa wa muziki nchini Nigeria, Eric Bellinger inayokwenda kwa jina la 'It’ll All Make Sense Later' imewashirikisha mastaa kibao akiwemo Burna Boy ambaye ana Tuzo ya Muziki…
NA JOSEPH SHALUWA ALBAMU mpya ya staa wa muziki nchini Nigeria, Eric Bellinger inayokwenda kwa jina la 'It’ll All Make Sense Later' imewashirikisha mastaa kibao akiwemo Burna Boy ambaye ana Tuzo ya Muziki…
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi waBandari Tanzania (TPA) kwa mara ya tatu mfululizo imetangazwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kuwa ni mwajiri bora wa sekta…
Rais wa Marekani, Joe Biden amempa mwanaye Hunter Biden msamaha wa rais na kumuepushia kifungo jela kutokana na makosa ya umiliki wa bunduki kinyume cha sheria na madai ya kukwepa…
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ataunda tume mbili ambapo moja itachunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro huku tume nyingine ikiangalia utekelezaji wa zoezi…
Na Mwandishi Wetu VIONGOZI wa dini, mila na siasa katika Halmashauri ya wilaya ya Magu mkoani Mwanza wameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewahimiza waajiri nchini kuongeza umakini na kuzingatia misingi ya utu mahali pa kazi ili iwe motisha na chachu kwa watumishi…
Jumuiya ya Mamlaka za Usimamizi wa Usafiri majini Barani Afrika zimetakiwa kushirikiana na kuungana ili kuimarisha usalama wa sekta ya usafirishaji majini na hivyo kuchochea maendeleo ya Uchumi katika nchi…
NA MWANDISHI WETU BENKI ya NMB imezindua Huduma ya Kimkakati kwa Ustawi wa Sekta ya Fedha na Uchumi wa Taifa ‘NMB Worldwide Pesa, inayowapa fursa Watanzania ya kutuma na kupokea…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe 27 Novemba 2024 amewaongoza wananchi wa Kata ya Bulangwa wilayani Bukombe mkoani Geita kupiga kura kuwachagua viongozi…
Benki ya NMB imetoa msaada wa mabati 150 na madawati 150 kwa shule za msingi KASANGA, KISASA na SAWALA zilizopo wilayani mufindi mkoani Iringa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi…