Rais Samia aomboleza kifo cha Kardinali Pengo
Rais Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa jimbo kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo aliyefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026. Kwa…
Rais Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa jimbo kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo aliyefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026. Kwa…
Kanisa Katoliki nchini limepata pigo kufuatia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo, kilichotokea jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umekabidhi jengo la kisasa la karakana ya uchomeleaji pamoja na vifaa vya mafunzo kwa…
Muungano wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Kenya (KAWU) umesitisha mgomo wake ulioanza Jumatatu baada ya maafikiano na wizara ya uchukuzi nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameeleza kuvutiwa na maendeleo ya mradi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kutoa kipaumbele cha…
Benki ya NMB imeiwakilisha kikamilifu Tanzania katika maonesho ya uwekezaji ya Mining Indaba 2026, yaliyofanyika jijini Cape Town nchini Afrika Kusini, kuanzia Februari 8 hadi 11. Kupitia maafisa wake waandamizi,…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema hatua ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuteuliwa kuwa kinara wa afya ya mama na…
Tarehe 24 Juni 1982, majira ya usiku, ndege ya British Airways aina ya Boeing 747-200, iliyokuwa imebeba abiria 263 ilikuwa ikiruka kwa utulivu takribani urefu wa futi 37,000 juu ya…
Na Mwandishi wetu, Katavi Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imeendelea kutoa mafunzo kwa Viongozi wa Serikali wakiwemo Wakuu wa Wilaya, Maafisa Tawala, Maafisa Tarafa, vitongoji pamoja na Wazee wa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU) na Serikali…