Bilioni 209 kufaidisha kaya duni 260,000
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali inakusudia kutumia Dola milioni 77.4 sawa na shilingi Bilioni 208.9 kuzijengea uwezo kaya duni 260,000 za wakulima na wavuvi kwa kuziwezesha kitaalam na kuziunganisha na…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali inakusudia kutumia Dola milioni 77.4 sawa na shilingi Bilioni 208.9 kuzijengea uwezo kaya duni 260,000 za wakulima na wavuvi kwa kuziwezesha kitaalam na kuziunganisha na…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa timu…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Finland, Alexander Stubb, ametembelea Makumbusho ya Taifa la Tanzania jijini Dar es Salaam na kuonesha kufurahishwa na maonesho ya historia…
ZAIDI ya wakazi 7,678 wa kata ya Mwamabanza iliyopo wilaya ya Magu mkoani Mwanza wanatarajiwa kupata huduma ya maji safi na salama kuanzia Juni mwaka huu. Hayo yameelezwa jana tarehe…
Na Mwandishi Wetu, Dar Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, anatarajiwa kuzindua kongamano maalum linaloandaliwa na Taasisi ya Umoja wa Watoa Huduma katika sekta ya madini nchini (TAMISA) pamoja na Kamati maalum…
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeanzisha majimbo mapya nane na kubadilisha majina ya majimbo 12 ya uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na waandishi…
Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam, Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais Tamisemi kwa kushirikiana na wadau wa kinywa na meno wamewataka Watanzania na taasisi mbalimbali kujitokeza kwa wingi…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imepata mafanikio ya kihistoria ya ushindi wa tuzo sita za kimataifa kutoka kwa majarida mawili mashuhuri duniani - jarida la Euromoney…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) chini ya kikundi kazi cha fedha kina mipango ya kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Kifedha (International…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amezindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kwenye magari…