Mambo Mbotela wa ‘ Jee, Huu ni uungwana?’ afariki dunia
Mwanahabari mkongwe wa Kenya Leonard Mambo Mbotela amefariki dunia. Mkwe wake Anne Mbotela alithibitisha habari hizo za kusikitisha kwa vyombo vya habari nchini humo leo Ijumaa asubuhi. Amesema Mwanahabari huyo…
