Trump kuapishwa ndani ya jengo la bunge leo
RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuapishwa leo Januari 20, 2025 kuwa rais wa 47 wa taifa hilo kubwa duniani ambapo uapisho huo utafanyika ndani ya jengo la Bunge…
RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuapishwa leo Januari 20, 2025 kuwa rais wa 47 wa taifa hilo kubwa duniani ambapo uapisho huo utafanyika ndani ya jengo la Bunge…
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewateua wakurugenzi, manaibu wakurugenzi, katibu na naibu katibu wa kamati ya itifaki na udhibiti baada ya kushauriana na makamu wenyeviti. Taarifa…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi ameondowa uwezekano wa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na kundi la M23, akisema kwamba hatua hiyo italipa uhalali kundi hilo.…
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh bilioni 71.5 sawa na asilimia 104 katika kipindi cha miezi sita cha mwaka mpya wa fedha 2024/25 kutoka eneo la kimkakati la mkoa…
Katika kuunga mkono kampeni ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ya kuhamasisha wananchi kuunganisha umeme kwenye nyumba zao, Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Naitapwaki Tukai amewalipia gharama za kuunganisha umeme…
Kamati ya fedha, uongozi na mipango katika halmashauri ya wilaya ya Magu imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani humo. Hayo yamebainishwa katika ziara ya kamati hiyo…
NA MWANDISHI WETU BENKI ya NMB imekuwa Taasisi ya Kwanza ya Kitanzania kupata ithibati ya kuwa Mwajiri Kinara Tanzania kwa Mwaka 2025, inayotolewa na taasisi bobevu na mahiri ya masuala…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeitaka sekta binafsi Tanzania kutumia fursa ya maboresho yaliyofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam kufanya biashara…
IMEELEZWA kuwa Watanzania watanufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii zitakazopatikana kuelekea mashindano ya CHAN 2025 na AFCON 2027. Hayo yamebainishwa jana Januari 15, 2025 na Naibu Waziri Mkuu…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Timu ya Uchunguzi iliyoundwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kuchunguza mali ya Msikiti wa Manyema uliopo Kariakoo Jijini Dar es Salaam…