Wakazi 32,000 kufaidika maboresho huduma za afya Magu
ZAIDI ya wakazi 32,000 wa kata za Lutale na Nyanguge wilayani Magu wanatarajiwa kufaidika na mradi wa ujenzi wa wodi ya wazazi pamoja na jengo la upasuaji, miradi inayotajwa kusaidia…
ZAIDI ya wakazi 32,000 wa kata za Lutale na Nyanguge wilayani Magu wanatarajiwa kufaidika na mradi wa ujenzi wa wodi ya wazazi pamoja na jengo la upasuaji, miradi inayotajwa kusaidia…
Wakati anamsifia mpenzi wake Msanii Mbosso aliimba “ Kamusi namaliza kurasa kukusifia”, na akahitimisha kwa kusema anaishiwa pawa kwa kuwa penzi la huyo ampendaye ni mizani nzito. Mbosso angepata fursa…
Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama taasisi kinara katika usimamizi wa rasilimali watu baada ya kutambuliwa tena kama Mwajiri Bora Tanzania na Top Employers Institute. Mafanikio haya yanaifanya…
MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo ameitembelea familia ya Mzee Shadrack Ntagala (66) iliyopata ajali ya moto na kuipa pole huku akiwasisitiza wananchi kuchukua tahadhari ya matumizi ya vifaa…
Matokeo ya awali yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi ya Uganda yanampa ushindi Rais Yoweri Museveni kwa asilimia 61.7 ya kura halali ambazo zimekwisha hesabiwa hadi sasa. Mwenyekiti wa Tume ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema uchaguzi wa mwaka 2025 ulikuwa na mafanikio makubwa ikiwamo kufikia asilimia 44 ya wabunge wanawake huku mchakato huo…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Kutokana na kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza nchini ambayo yanaendelea kuathiri nguvu kazi ya Taifa kwa kushambulia watu wa rika mbalimbali, Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupima…
BARAZA la Wafanyakazi Magu limewachagua Lilian Michael kuwa katibu wa baraza pamoja na Allypius Pauliny kuwa katibu msaidizi. Uchaguzi huo uliosimamiwa na Afisa Kazi wa mkoa wa Mwanza, Peace Felix…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, ameahidi Serikali kuendelea kulinda na kuheshimu uhuru wa mahakama ili kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Dkt Samia ameeleza hayo…
Mahakama ya Rufani nchini, imetupilia mbali rufani iliyowasilishwa na Benki za Standard Chartered Hong Kong (SCBH) na Standard Chartered Bank Malaysia Berhad, kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu. Pingamizi hilo lilihusu…