NMB yaing’arisha Tz, yawa benki ya kwanza kuzindua mfumo wa Lipa kwa QR Link
Kwa mara ya kwanza duniani na kwa kushirikiana na @mastercard, Benki ya NMB (@nmbtanzania) imezindua rasmi mfumo wa malipo wa Lipa kwa QR link (QR pay by link with click…
Kwa mara ya kwanza duniani na kwa kushirikiana na @mastercard, Benki ya NMB (@nmbtanzania) imezindua rasmi mfumo wa malipo wa Lipa kwa QR link (QR pay by link with click…
IMEELEZWA kuwa Mradi wa bomba la mafuta ghafi wa Afrika Mashariki (EACOP) kupitia programu ya urejeshaji na ulinzi wa viumbe hai wa baharini na ajira katika mwambao wa Tanga, unatarajiwa…
Rais wa Kenya, William Ruto amemteua Waziri wa Usalama wa Ndani, Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais mpya kufuatia kutimuliwa kwa Rigathi Gachagua jana Alhamisi usiku. Jina la Kindiki limewasilishwa bungeni…
Shirika la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC) la Serikali ya Marekani limeeleza kuridhishwa kwake na mageuzi ya mifumo ya kiutendaji, yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika maeneo…
Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wamesisitizwa kuyabeba majukumu waliyopewa kwa uzito unaostahili, huku wakiweka mbele maslahi ya umma wakati wanatekeleza majukumu yao. Maagizo hayo…
Na Mwandishi Wetu, Njombe Mbunge wa Ludewa (CCM), Joseph Kamonga ameupongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kutenga asilimia 30 ya fedha kwa ajili ya kuviwezesha vikundi…
Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imezindua rasmi ugawaji wa vitambulisho vya kidijitali kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo nchini. Waziri wa Maendeleo ya Jamii,…
SERIKALI ya Japan kupitia Shirika lake la Ushirikiano wa Kimataifa (JICA), imeipatia Tanzania msaada wa Yen bilioni 4.07 sawa na Sh bilioni 68.5 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi…
Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), inatekeleza mradi wa Sh 678.6 bilioni ambao utaboresha utaratibu wa upakuaji mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam. Ujenzi wa matanki…
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, ameutaka uongozi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuhakikisha kinazalisha marubani wa kutosha ili kuongeza ufanisi katika matumizi ya ndege mbili za mafunzo…