Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Read more about the article Vibonde Kenya wabondwa tena AFCON

Vibonde Kenya wabondwa tena AFCON

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 11, 2024
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

HARAMBEE Stars ya Kenya imedondosha alama zote tatu kwenye mechi yake ya tatu ya kufuzu kushiriki Kombe la Afrika (AFCON) mwaka 2025 baada ya kuzidiwa maarifa na wenyeji Cameroon 4-1…

Continue ReadingVibonde Kenya wabondwa tena AFCON
Read more about the article Wakazi 450,000 Dar es salaam kusini kufaidika mradi wa majisafi ifikapo Disemba

Wakazi 450,000 Dar es salaam kusini kufaidika mradi wa majisafi ifikapo Disemba

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 11, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu), William Lukuvi ameeleza kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji maji Dar es Salaam ya kusini maarufu…

Continue ReadingWakazi 450,000 Dar es salaam kusini kufaidika mradi wa majisafi ifikapo Disemba
Read more about the article Bandari ya uvuvi ya Kilwa kuleta mapinduzi ya sekta ya uvuvi Tanzania

Bandari ya uvuvi ya Kilwa kuleta mapinduzi ya sekta ya uvuvi Tanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 10, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam  Ujenzi wa Bandari ya kwanza ya uvuvi nchini Tanzania, Kilwa Masoko, iliyoko kwenye pwani ya Bahari ya Hindi katika mkoa wa Lindi, uko karibu…

Continue ReadingBandari ya uvuvi ya Kilwa kuleta mapinduzi ya sekta ya uvuvi Tanzania
Read more about the article Wadau TPA waridhishwa na huduma bandari nchini

Wadau TPA waridhishwa na huduma bandari nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 10, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WADAU mbalimbali na watumiaji wa huduma za bandari wameridhishwa na ubora wa huduma  sambamba na  utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini…

Continue ReadingWadau TPA waridhishwa na huduma bandari nchini
Read more about the article Vodacom yawafikia abiria wa ‘treni ya Mwakyembe’

Vodacom yawafikia abiria wa ‘treni ya Mwakyembe’

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 10, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa Vodacom Tanzania, Happiness Shuma (kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC) Never…

Continue ReadingVodacom yawafikia abiria wa ‘treni ya Mwakyembe’
Read more about the article Makamu wa rais Benki ya Dunia asafiri kwa SGR

Makamu wa rais Benki ya Dunia asafiri kwa SGR

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 10, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayesimamia Kanda ya Afrika Mashariki  na Kusini, Victoria Kwakwa leo Alhamisi amesafiri kwa njia ya treni ya…

Continue ReadingMakamu wa rais Benki ya Dunia asafiri kwa SGR
Read more about the article Rais Samia ametoa ruzuku asilimia 50 kwa mitungi ya gesi inayosambazwa na REA

Rais Samia ametoa ruzuku asilimia 50 kwa mitungi ya gesi inayosambazwa na REA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 10, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya asilimia 50 ya bei kwa mitungi ya gesi inayosambazwa nchini na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Hayo yamebainishwa leo Oktoba…

Continue ReadingRais Samia ametoa ruzuku asilimia 50 kwa mitungi ya gesi inayosambazwa na REA
Read more about the article Dk. Msonde awataka TANROADS kuwajengea uwezo watumishi

Dk. Msonde awataka TANROADS kuwajengea uwezo watumishi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 10, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Tabora Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Dkt. Charles Msonde ameutaka Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kuweka utaratibu wa kuwajengea uwezo watumishi wake ikiwemo kuwapatia mafunzo ya…

Continue ReadingDk. Msonde awataka TANROADS kuwajengea uwezo watumishi
Read more about the article Wanaoishi na VVU wapatiwa bima kupitia miradi ya TARURA

Wanaoishi na VVU wapatiwa bima kupitia miradi ya TARURA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 10, 2024
  • Post category:Uncategorized

Na Mwandishi Wetu, Njombe Vikundi vya Kijamii vinavyofanya kazi za ujenzi na matengenezo madogo madogo ya miundombinu ya barabara wilayani Ludewa wameishukuru Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)…

Continue ReadingWanaoishi na VVU wapatiwa bima kupitia miradi ya TARURA
Read more about the article Rubani wa shirika la ndege la Turkish Airlines afariki ndani ya ndege

Rubani wa shirika la ndege la Turkish Airlines afariki ndani ya ndege

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 9, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga

Rubani wa shirika la ndege la Turkish Airlines amefariki dunia baada ya kuugua ghafla akiwa kwenye ndege kutoka Seattle kwenye pwani ya kaskazini magharibi mwa Marekani kuelekea Istanbul nchini Uturuki.…

Continue ReadingRubani wa shirika la ndege la Turkish Airlines afariki ndani ya ndege
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Close Menu
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Search this website