Naibu rais Kenya Rigathi Gachagua aondolewa na baraza la seneti
Bunge la seneti nchini Kenya jana Alhamisi limepiga kura na kuidhinisha kuondolewa ofisini kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, kutokana na mashtaka matano kati ya 11 yaliyowasilishwa dhidi yake, katika hatua…
