Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Read more about the article Naibu rais Kenya Rigathi Gachagua aondolewa na baraza la seneti

Naibu rais Kenya Rigathi Gachagua aondolewa na baraza la seneti

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Bunge la seneti nchini Kenya jana Alhamisi limepiga kura na kuidhinisha kuondolewa ofisini kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua,  kutokana na mashtaka matano kati ya 11 yaliyowasilishwa dhidi yake, katika hatua…

Continue ReadingNaibu rais Kenya Rigathi Gachagua aondolewa na baraza la seneti
Read more about the article DAWASA yasambaza huduma ya maji maeneo yasiyo na mtandao

DAWASA yasambaza huduma ya maji maeneo yasiyo na mtandao

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza kuchukua hatua za muda mfupi kwa maeneo ambayo hayana mtandao wa maji…

Continue ReadingDAWASA yasambaza huduma ya maji maeneo yasiyo na mtandao
Read more about the article Bilioni 22 kujenga masoko, barabara Mwanza

Bilioni 22 kujenga masoko, barabara Mwanza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Serikali inatarajia kutumia zaidi ya Sh. bilioni 14.7, katika…

Continue ReadingBilioni 22 kujenga masoko, barabara Mwanza
Read more about the article EACOP yapongezwa kulinda mzingira ya mwambao wa Tanga               

EACOP yapongezwa kulinda mzingira ya mwambao wa Tanga               

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) umepongewa kwa kurejesha vizuri mazingira ya asili ya viumbe hai wa baharini, kupanda…

Continue ReadingEACOP yapongezwa kulinda mzingira ya mwambao wa Tanga               
Read more about the article NIDA yarahisisha mchakato wa upatikanaji wa vitambulisho

NIDA yarahisisha mchakato wa upatikanaji wa vitambulisho

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko

 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imefanya maboresho katika kituo chake cha kutolea Huduma kwa Wateja (Call Centre) ili kuwafikia wananchi wengi zaidi wenye…

Continue ReadingNIDA yarahisisha mchakato wa upatikanaji wa vitambulisho
Read more about the article Mwana Fa: Tz bado ina nafasi AFCON 2025

Mwana Fa: Tz bado ina nafasi AFCON 2025

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

LICHA ya Timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Timu ya taifa ya Congo (DRC), Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis…

Continue ReadingMwana Fa: Tz bado ina nafasi AFCON 2025
Read more about the article Vitisho vya Mabomu Vyazua Taharuki Safari za Ndege India

Vitisho vya Mabomu Vyazua Taharuki Safari za Ndege India

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga

Ndege zisizopungua 10 za mashirika tofauti ya ndege nchini India, zimelazimika kusitisha safari zake za ndege, kuchelewesha ratiba na kubadili njia za safari zake baada ya kupokea vitisho vya mabomu…

Continue ReadingVitisho vya Mabomu Vyazua Taharuki Safari za Ndege India
Read more about the article TAWA yajipanga kununua ndege nyuki 4 kukabili tembo

TAWA yajipanga kununua ndege nyuki 4 kukabili tembo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga

Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA inatarajia kununua ndege nyuki nne aina ya DJI Mavic 3 ambazo zitapelekwa katika wilaya za Namtumbo mkoani Ruvuma…

Continue ReadingTAWA yajipanga kununua ndege nyuki 4 kukabili tembo
Read more about the article TASAC yaagizwa kutoa elimu kuhusu sheria usafiri majini

TASAC yaagizwa kutoa elimu kuhusu sheria usafiri majini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Nahodha Mussa Mandia ameiagiza TASAC kuendelea kutekeleza mikakati yenye tija ya utoaji elimu kwa wadau wote muhimu…

Continue ReadingTASAC yaagizwa kutoa elimu kuhusu sheria usafiri majini
Read more about the article Shirika la ndege la Iran Air lasitisha safari zake kuelekea Ulaya

Shirika la ndege la Iran Air lasitisha safari zake kuelekea Ulaya

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga

Kufuatia vikwazo vya Ulaya dhidi ya mashirika matatu ya ndege ya Iran, Shirika la ndege la Iran Air, limetangaza kusitisha safari zake zote za ndege kuelekea nchi za Ulaya. Iran…

Continue ReadingShirika la ndege la Iran Air lasitisha safari zake kuelekea Ulaya
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • …
  • 135
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Close Menu
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Search this website