Mafunzo haya ya Ofisi ya Waziri Mkuu yanawajengea uwezo vijana kupata kipato
Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Moja ya changamoto kubwa inayoikabili dunia kwa sasa na Tanzania ikiwepo ni tatizo la ajira hasa kwa vijana. Nchini Tanzania, changamoto hii imekuwa ikiongezeka kutokana…